Mfanyabiashara kijana aandaa kaburi lake baada ya kukiuka masharti ya Mganga

Mfanyabiashara kijana aandaa kaburi lake baada ya kukiuka masharti ya Mganga

Masharti ni kitu kitafanya nisije wahi kwenda kwa mganga kwa ajili ya kukamilisha jambo langu
 
Mfanyabiashara Kijana wa Nakonde nchini Zambia mwenye umri wa miaka 29 ameanza kuandaa kaburi lake baada ya kuambiwa na Mganga wake wa Sumbawanga kuwa atakufa hivi karibuni kwa kukiuka masharti ya utajiri wake.

Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.

Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.

Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.

Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.

Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.

View attachment 2296855

Mbona hajanyoosha vizuri sasa
 
Anaacha kuamini Mungu anaamini mganga kaaahhh...pole yake sana
 
HABARI ZA KUTUNGA HIZI ZA VBLOG UCHWARA KATIKA KUVUTA ATT, KWA WASOMAJIWAKE.
 
Back
Top Bottom