Mfanyabiashara kijana aandaa kaburi lake baada ya kukiuka masharti ya Mganga

Kwahio wasiokwenda kwa waganga hawatakufa ?

Logic, logic, logic....

Au angetimiza masharti angeishi milele ?
 
Hela ndogo sana hiyo.wakinga wa kariakoo wanaingiza hadi milioni 5 kwa siku na hawajulikani

Umesoma vizuri aina ya biashara anayoimiliki na wingi wake?

Yaani uwe mmliki wa saloon 89 na telephone booth 240, halafu usiwe mashuhuri?
 
kuabiri ndio kufanyeje?
 
Neno la faraja kwake ni R I P
 
Umesoma vizuri aina ya biashara anayoimiliki na wingi wake?

Yaani uwe mmliki wa saloon 89 na telephone booth 240, halafu usiwe mashuhuri?
Labda amefranchise ye anaketewa hesabu tu
 
Majina ya mpakani hayo, Walungu wako nakonde upande wa Zambia na mkoa wa rukwa wapo.
 
Aende tu kukesha kanisani na kumrudia Mungu wake, labda anaweza kuzishinda nguvu za kishetani
 
Ukitafutwa PM kwa ajili ya mawasiliano ya huyo mganga wa Sumbawanga, na watu wenye tamaa ya utajiri wa hara haraka, na wale waliokata tamaa ya kutoboa kimaisha kwa njia za kawaida, basi ujitahidi tu kutoa ushirikiano.
 
Mwenyewe nimejiuliza mengi sana,siame wengi wapo jeshini nashangaa kumbe wazambia bwana[emoji23][emoji23],atakuwa kakosea siame ndio mganga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…