Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Mfanyabiashara maarufu Dodoma, Ndugu Calvin Maimu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Tarehe 17/07/2020 katika Hospital ya Hindu Mandal Jijini Dar e Salaam.
Mfanyabiashara huyo mkubwa alikuwa akijishughulisha na mradi wa kuuza Matrekta maarufu Dodoma kama Kilimo kwanza maeneo ya Ndejengwa na alikuwa na Biashara za bidhaa za kilimo.
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.
Mfanyabiashara huyo mkubwa alikuwa akijishughulisha na mradi wa kuuza Matrekta maarufu Dodoma kama Kilimo kwanza maeneo ya Ndejengwa na alikuwa na Biashara za bidhaa za kilimo.
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA. JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.