jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Keshazikwa karibu na Winnie.Wanadhani ndiyo kuwa wajanja. Zindzi yamemkuta iwe sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshazikwa karibu na Winnie.Wanadhani ndiyo kuwa wajanja. Zindzi yamemkuta iwe sisi?
Keshazikwa karibu na Winnie.
HeheheheHakuna wa kubisha, tulificha tu, haya haya
Hivi Zindzi ndo kimemuua?Wanadhani ndiyo kuwa wajanja. Zindzi yamemkuta iwe sisi?
Hivi Zindzi ndo kimemuua?
Alikuwaga na presha pia yule mama
Waswanu hivi bado ipo? Wakina Steve?Sio korona mkuu alikuwa anaumwa muda mrefu
Waswanu hivi bado ipo? Wakina Steve?
Ndiye jamaa anayejenganile mall pale kituo cha mafuta Engine?
Duh umenikumbusha mbali, jamaa alianza na Bint wa Waswanu RIP akisoma IFM ndio alikuwa amuoe, akabadili hukohuko kwa aliye naye sasa, na haikupita miaka ugonjwa ukamuanza, amesaidia sana kujenga Makanisa hasa ya KKKTWapo wamejaa tele Steve na Manny nilikua nao wiki moja iliyopita
Mkuu, ebu kaa kimya kwanza....Duh umenikumbusha mbali, jamaa alianza na Bint wa Waswanu RIP akisoma IFM ndio alikuwa amuoe, akabadili hukohuko kwa aliye naye sasa, na haikupita miaka ugonjwa ukamuanza, amesaidia sana kujenga Makanisa hasa ya KKKT
Alizikwa wilaya ya Siha Sanya juu, sina uhakika km ni familia moja na Dickson Maimu ila najua kaka zake wapo bado Jiji la dom
Ni wasihaMaimu ni wamachame wa kijiji gani? Ni koo ngeni kuwahi isikia
bora tuwe wakweli na kweli ituweke huru.Hakuna wa kubisha, tulificha tu, haya haya