TANZIA Mfanyabiashara maarufu Dodoma, Calvin Maimu afariki dunia

TANZIA Mfanyabiashara maarufu Dodoma, Calvin Maimu afariki dunia

Ni kweli Zaidi ya miaka ishirini kabadilisha damu sana huyu nyamihela alioa familia bora na yeye yuko vizuri,akalale anapostahili hakuwa mtu nzuri sana
Ndoivo mkuu Kwa hiz jamii zetu huez kufanikiwa ukiwa lainilaini, lazma uwe bandidu fulani.
 
Yeah, na ilimletea shida sana na waziri wa zamani ambae kwasasa ndio mkubwa kabisa wa kantere
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. Rest in Peace brother mbele yako nyuma yetu. Poleni Sana familia ya Maimu
 
Uzi wote huu mmeshindwa kutuwekea picha yake
Tumjue

Ova
 
Back
Top Bottom