Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Vp ni chngamoto zilezile au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua aumwa nini?Sio korona mkuu alikuwa anaumwa muda mrefu
🔊🎧Unapenda ligi za kishamba
Mnaona shida gani kutaja maradha jamani!!!Sio korona iliyo muondoa uhai.
Marehem amekua mgonjwa kwa muda mrefu hata kabla ya kurona
Eti jamani[emoji849]Mnaona shida gani kutaja maradha jamani!!!
Ni kweli Zaidi ya miaka ishirini kabadilisha damu sana huyu nyamihela alioa familia bora na yeye yuko vizuri,akalale anapostahili hakuwa mtu nzuri sanaSio korona mkuu alikuwa anaumwa muda mrefu
Ndoivo mkuu Kwa hiz jamii zetu huez kufanikiwa ukiwa lainilaini, lazma uwe bandidu fulani.Ni kweli Zaidi ya miaka ishirini kabadilisha damu sana huyu nyamihela alioa familia bora na yeye yuko vizuri,akalale anapostahili hakuwa mtu nzuri sana
Ndiye jamaa anayejenganile mall pale kituo cha mafuta Engine?Huyu M-MACHAME WA URONU, ni tajiri na mdogo wake Dickson Maimu aliyekuwa mkurugenzi wa NIDA kabla ya Kipilimba
Yeah, na ilimletea shida sana na waziri wa zamani ambae kwasasa ndio mkubwa kabisa wa kantereNdiye jamaa anayejenganile mall pale kituo cha mafuta Engine?
Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. Rest in Peace brother mbele yako nyuma yetu. Poleni Sana familia ya MaimuYeah, na ilimletea shida sana na waziri wa zamani ambae kwasasa ndio mkubwa kabisa wa kantere
Mzee aliugua kwa muda mrefu, nakumbuka alianza kuugua karibu miaka minne iliyopitaMnaona shida gani kutaja maradha jamani!!!
Alikua anasumbuliwa na.........!Mzee aliugua kwa muda mrefu, nakumbuka alianza kuugua karibu miaka minne iliyopita
Hata mimi nimesikia hivyo,alikuwa mgonjwa muda mrefu...Sio korona iliyo muondoa uhai.
Marehem amekua mgonjwa kwa muda mrefu hata kabla ya kurona
Ni Corona imemuondoa ila imekuwa rahisi kwani jamaa alikuwa ameshaungua tayari. Mnaficha ficha kwani anaenda kuliwa? Haya nimeweka wazi mkibisha bisheni!Mzee aliugua kwa muda mrefu, nakumbuka alianza kuugua karibu miaka minne iliyopita
Hakuna wa kubisha, tulificha tu, haya hayaNi Corona imemuondoa ila imekuwa rahisi kwani jamaa alikuwa ameshaungua tayari. Mnaficha ficha kwani anaenda kuliwa? Haya nimeweka wazi mkibisha bisheni!
Kusema ukweli serekale inatuchuuza kinoma.
Mrangi angalia Post ya kwanzaUzi wote huu mmeshindwa kutuwekea picha yake
Tumjue
Ova