Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku wapo wazi na wanadhibiti ugonjwa kisayansi sasa huko kwa jiwe kama unatembea gizani bila mwangaUko corona amna nije? Hapa bongo bado kama wiki tu tutaanza kukataana!!
Nobody safe!Corona itawamalize acha wengine tuendelee kula maisha Finland
Mkuu funguka tujue hali halisi. Tulipofikia ni bora kupeana hali halisiAise kwa maelezo ukiyasikia wkt wa pilikapilika za kujaribia kuokoa maisha ya jamaa utabaki mdomo wazi !
Ngoja tuishie hapaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Finland ya gobaCorona itawamalize acha wengine tuendelee kula maisha Finland
Umekipeleka huko!Corona itawamalize acha wengine tuendelee kula maisha Finland
Sema neno moja...Aise kwa maelezo ukiyasikia wkt wa pilikapilika za kujaribia kuokoa maisha ya jamaa utabaki mdomo wazi !
Ngoja tuishie hapaa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkimbizi tena?? Lakn siwez bishana maana nilipanga 10m away from him, ukitoka town unashuka kituo bwawani maji, pale sio kihesa au ndio mkimbizi A..Acha kujifanya unajua makazi ya watu ilihali unasema uongo! Msigwa anaishi Mkimbizi na sio mtwivila ulikojifunzia kunywa mbitu!
Ndio mahana nataka hajibu kure uapnde wa piliMungu anasema wanadamu wanaangamia kwa kukosa maarifa!!
CCMChanzo cha kifo?
Mfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi.
View attachment 1697746
Rip Velani
Nazungumzia mchungaji Msigwa mwenye Kanisa ambaye ni kaka wa huyu Peter wa Mkimbizi!Acha kujifanya unajua makazi ya watu ilihali unasema uongo! Msigwa anaishi Mkimbizi na sio mtwivila ulikojifunzia kunywa mbitu!
Acha tumezee tuMkuu funguka tujue hali halisi....tulipofikia ni bora kupeana hali halisi