Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha kifo?
Nashangaa wenye vyeo,wasomi na matajiri wakifariki wanahisiwa ni ugonjwa wa coronavirus !
Mimi na demu wangu tumejifungia ndani hapa kontula tunakula kela tu
Kuna katibu alisema hakuna mgonjwa wa matatizo ya kupumua ,ni magonjwa y Kawaida tu.........sasa hospitL zinaja vipi?Hapo mwisho na kunukuu, "jamaa amepoteza Uhai kwa kukosa uduma, jana alizidiwa akapelekwa Aga khan akakosa mashine kumejaa, Regency kumejaa, nasikia walihangaika hospital kibao" , mwisho wa kunukuu.
Kwenye hayo maneno kuna umuhimu wa matajiri wetu kusaidia vifaa kwenye hospital za chini hili kuongeza uwezo wa hospitali zetu kuudumia wagonjwa mahututi.
Wakati kama huu wa magonjwa ya mlipuko mara nyingi hospitali zina zidiwa na ndio vifo vinaongeza.
Mfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi.
Rip Velani
Umenena rafiki yanguHapo mwisho na kunukuu, "jamaa amepoteza Uhai kwa kukosa uduma, jana alizidiwa akapelekwa Aga khan akakosa mashine kumejaa, Regency kumejaa, nasikia walihangaika hospital kibao" , mwisho wa kunukuu.
Kwenye hayo maneno kuna umuhimu wa matajiri wetu kusaidia vifaa kwenye hospital za chini hili kuongeza uwezo wa hospitali zetu kuudumia wagonjwa mahututi.
Wakati kama huu wa magonjwa ya mlipuko mara nyingi hospitali zina zidiwa na ndio vifo vinaongeza.
Ngoja nimuombe Ndugai kwa sababu marehemu ni jirani yake miye nipo Lembeni bwashee!Nafikiri ni vizuri kuambatanisha copy ya death certificate ili kuifanya taarifa iwe credible
Sentensi yako haieleweki weka kisado cha mbege pembeni uandike vizuri!Kwa hiyo sasa kila anayekufa anakufa na ugonjwa mbavu wewe ni msemaji wa familia
Deportivo laMfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi.
Rip Velani
HahahahhUmenikumbusha Mtwivila kwa mchungaji Msigwa!
Wa nini hao ombi langu kwa Mungu ni kwa head prefectAu yule Dk gwajima au jobu
Wanaondoka wapambanaji wanaosaidia familia nyingi kwa vibarua vya apa na pale kwann asichukuliwe kiranja mkuu??.[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Huyo sawa ila na hawa mungu awatwae na covid job n dk mwehuWa nini hao ombi langu kwa Mungu ni kwa head prefect
ugonjwa huo unaitwa NIMONIA KALIMfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi.
Rip Velani
Panaitwa bwawani na kituo kinachofuata ni kihesa kilolo. Mkimbizi A unashukia la Kigahe Kama umepanda Basi la Mkimbizi.Mkimbizi tena?? Lakn siwez bishana maana nilipanga 10m away from him, ukitoka town unashuka kituo bwawani maji, pale sio kihesa au ndio mkimbizi A..