TANZIA Mfanyabiashara maarufu Velani Mkomba ajulikanae kama Vigu Co aka Kilimanjaro Lembeni Kwetu afariki dunia

Acha kujifanya unajua makazi ya watu ilihali unasema uongo! Msigwa anaishi Mkimbizi na sio mtwivila ulikojifunzia kunywa mbitu!
Mkimbizi tena?? Lakn siwez bishana maana nilipanga 10m away from him, ukitoka town unashuka kituo bwawani maji, pale sio kihesa au ndio mkimbizi A..
 
R.I.P bro Virani.
Rekebisha jina anaitwa Virani Mkomba
 
Mfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi.

View attachment 1697746

Rip Velani

Ingekuwa ni jiwe, bi chamia, mwinyi, maalim, kassim na wengine namna hiyo ventilator isingekosekana. Ingetolewa kwa yeyote huyo afe ila wenyewe wabaki.

Tusidanganyane, hatuko sawa mbele ya ugonjwa huu:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…