TANZIA Mfanyabiashara maarufu Velani Mkomba ajulikanae kama Vigu Co aka Kilimanjaro Lembeni Kwetu afariki dunia

Kuna katibu alisema hakuna mgonjwa wa matatizo ya kupumua ,ni magonjwa y Kawaida tu.........sasa hospitL zinaja vipi?
 
Umenena rafiki yangu
 
Kama ilivyokuwa vita ya majimaji vs bunduki. Maadui walitumia bunduki na risasi afu sisi tulitumia maji eti yazuie risasi

God and time
 
Wanaondoka wapambanaji wanaosaidia familia nyingi kwa vibarua vya apa na pale kwann asichukuliwe kiranja mkuu??.[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]

Kakimbia karudi kwao. Wakati anapewa kijiti nasikia aliwahi kusema mpaka ukifika muda kuna watu watakimbia jiji la Wajuaji. Badala yake Dingi kakimbia yeye kuogopa kubanwa pumzi. Kawaacha wajuaji hapa hapa wanaendelea kujifukiza.
 
Mkimbizi tena?? Lakn siwez bishana maana nilipanga 10m away from him, ukitoka town unashuka kituo bwawani maji, pale sio kihesa au ndio mkimbizi A..
Panaitwa bwawani na kituo kinachofuata ni kihesa kilolo. Mkimbizi A unashukia la Kigahe Kama umepanda Basi la Mkimbizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…