Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Matumizi binafsiNafaa kwa matumizi gani Tena..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matumizi binafsiNafaa kwa matumizi gani Tena..?
Au ngwengweUkute madeni.....
Kumbe we muslim 😁شكراًن
Hiv kuwa na duka la vinywaji vya jumla ndio utajiri, mbona hajuna mahala wamesema ni tajir hapo zaid ya ufanya biashara?Kwa nini isiwe ni bhangi, pepo au wamemnyonga huko halafu wakaja kuutundika mwili hapo ili kupoteza mwelekeo?
Msongo wa mawazo kwa Tajiri kweli? Utajiri ulikuwa kwake hauna maana.
Hata marekani mafukara wengi tu lakini haimaanishi ni nchi masikin. Hakuna nchi haina fukara kwa levo yaoUchagani mafukara wengi tu
Business rivalryMfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Naam dijango....😁Kumbe we muslim 😁
Yapi hayo Tena ...?Matumizi binafsi
Weeknd unitembelee basi 😄 tuwe ma porn star kwa muda mfupiNaam dijango....😁
I doubt hiyo ipo kila sehemuBusiness rivalry
استغفراللهWeeknd unitembelee basi 😄 tuwe ma porn star kwa muda mfupi
Translate mi sielewi haya maneno ya hii lughaاستغفرالله
استغفرالله
استغفرالله
Siamini kama TRA hawahusiki hapoMfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.
Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.
Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.
Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili
Clouds
Hoja yako Ina mashiko naomba izingatiwe. OverNingesema pesa ila akili inaniambia mapenzi yanahusika
Astaghafirullah Astaghafirullah AstaghafirullahTranslate mi sielewi haya maneno ya hii lugha
Umenusa harufu ya hujuma!!?au!?Alikuwa anashabikia Chama gani kati ya CCM na CHADEMA?
Duuu,DP world wameanza mambo yao Hadi Jamii forumاستغفرالله
استغفرالله
استغفرالله
Kivipi mkuu?Duuu,DP world wameanza mambo yao Hadi Jamii forum