TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

Kujua nini hasa Kisababishi cha Kufa / Kufariki Kwake huko.
Wwayi! Kesha kufa baasi tena. Sasa lililopo mbele ni kujikita kwenye mchakato wa mazishi.
Kilichosababisha kufa au kufariki kwake ni kwa uhakika ni hicho kitanzi shingoni mwake.
Kilichomsukuma (motivating factors)hadi akafikia hatua hiyo kukijua ni mtihani. Hata madaktari hawatajua wataishia kusema suffocation, Mental hysteria etc etc - kitakachoendelea imebaki kusikia tetesi, fununu na umbeya tuu. Hakutakuwa na uhakika 100%. Angekuwepo yeye marehemu mwenyewe angebanwa aseme. Sasa hayupo na hajamruhusu mtu mwakilishi amsemee.
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
Picha
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
Tungi sio chai,huenda alikuwa na madeni
 
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga.

Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la polisi lilifika eneo la tukio kuuchukua mwili.

Majirani wanasema hakuwa na ugomvi na mtu yeyote isipokuwa siku za hivi karibuni akikuwa mnywaji wa pombe kupindukia hali iliyokuwa inamlazumu mkewe kuwaomba majirani zake wamsaidie kumbeba na kumrejesha nyumbani.

Mushi ameacha mke mmoja na watoto wawili

Clouds
Kwani akina Mushi ni Wahehe?
 
Back
Top Bottom