TANZIA Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga

Kwa nini isiwe ni bhangi, pepo au wamemnyonga huko halafu wakaja kuutundika mwili hapo ili kupoteza mwelekeo?
Msongo wa mawazo kwa Tajiri kweli? Utajiri ulikuwa kwake hauna maana.
Hiv kuwa na duka la vinywaji vya jumla ndio utajiri, mbona hajuna mahala wamesema ni tajir hapo zaid ya ufanya biashara?
 
Business rivalry
 
Siamini kama TRA hawahusiki hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…