Mfanyabiashara Raphael O. Ongangi atekwa na watu wasiojulikana! Ni aliyekuwa Msaidizi wa Zitto

Mfanyabiashara Raphael O. Ongangi atekwa na watu wasiojulikana! Ni aliyekuwa Msaidizi wa Zitto

Nimeileta taarifa kama ilivyo ambayo imetoka kwenye chombo cha habari, wewe pia leta habari zinazokana utekwaji huo.....
Mnakokwenda hakufai, rekebisheni mapema.
Hakuna watu wapumbavu kama watanzania East and Central Africa, kila siku yanatekwa Kama Punda halafu yanajiita nchi ya amani ndo maana niliamua kuomba uraia wa Australia, kuliko kukaa na hizi Punda
 
Mfanyabiashara wa jijini Dar, Raphael O. Ongangi anadaiwa kutekwa siku ya Jumatatu tarehe 24 Juni, 2019 na watu wenye silaha akiwa anaelekea nyumbani kwake maeneo ya Masaki.

Raphael alikuwa mshauri wa karibu wa ndugu Zitto kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015.

Jeshi la Polisi kupitia kwa Kamanda wake, Mambosasa limedai linachunguza tukio hili.

View attachment 1139200
Pichani ni Raphael Ongangi
====

A Kenyan businessman is missing after he was abducted by unknown people in Dar es Salam, Tanzania.

Mr Raphael Ongnagi was abducted on Monday at the intersection of Msasani and Karume Road in Oysterbay neighbourhood by three gunmen who had three cars and two motorbikes.

His wife Veronica reported to the local authorities and Kenyan High Commission about the incident.

Ongangi has been running a transport business between Dar es Salam, DRC Congo, Zambia and Rwanda.

Kenyan High Commissioner to Tanzania Dan Kazungu confirmed the incident and added they are working with local authorities to solve it.

“We are aware of the incident and the mission is seized of the matter. The mission is working around the clock and will be sharing progress reports of this matter,” he said.

The motive of the incident is yet to be established. It is not clear if the abductors had contacted the family of the victim with demands.
Amechukuliwa kidogo tu atarudi
 
Mfanyabiashara wa jijini Dar, Raphael O. Ongangi anadaiwa kutekwa siku ya Jumatatu tarehe 24 Juni, 2019 na watu wenye silaha akiwa anaelekea nyumbani kwake maeneo ya Masaki.

Raphael alikuwa mshauri wa karibu wa ndugu Zitto kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015.

Jeshi la Polisi kupitia kwa Kamanda wake, Mambosasa limedai linachunguza tukio hili.

View attachment 1139200
Pichani ni Raphael Ongangi
====

A Kenyan businessman is missing after he was abducted by unknown people in Dar es Salam, Tanzania.

Mr Raphael Ongnagi was abducted on Monday at the intersection of Msasani and Karume Road in Oysterbay neighbourhood by three gunmen who had three cars and two motorbikes.

His wife Veronica reported to the local authorities and Kenyan High Commission about the incident.

Ongangi has been running a transport business between Dar es Salam, DRC Congo, Zambia and Rwanda.

Kenyan High Commissioner to Tanzania Dan Kazungu confirmed the incident and added they are working with local authorities to solve it.

“We are aware of the incident and the mission is seized of the matter. The mission is working around the clock and will be sharing progress reports of this matter,” he said.

The motive of the incident is yet to be established. It is not clear if the abductors had contacted the family of the victim with demands.
Atakuwa kagoma kutoa mchango pesa ya kampeni ya Chama kubwa.
 
Zitto atueleze huyo mkenya alikuwa mshauri wake kwa Mambo gani Kama siasa imekula kwake hakuna nchi inayoruhusu raia wa kigeni kuangilia Mambo ya ndani ya nchi husika
TRA wataibuka kuwa walikuwa wamemweka kizuizini kumhoja maswala ya kodi. Laanaturah awamu ya tano.
 
Mfanyabiashara wa jijini Dar, Raphael O. Ongangi anadaiwa kutekwa siku ya Jumatatu tarehe 24 Juni, 2019 na watu wenye silaha akiwa anaelekea nyumbani kwake maeneo ya Masaki.

Raphael alikuwa mshauri wa karibu wa ndugu Zitto kabla ya Uchaguzi Mkuu 2015.

Jeshi la Polisi kupitia kwa Kamanda wake, Mambosasa limedai linachunguza tukio hili.

View attachment 1139200
Pichani ni Raphael Ongangi
====

A Kenyan businessman is missing after he was abducted by unknown people in Dar es Salam, Tanzania.

Mr Raphael Ongnagi was abducted on Monday at the intersection of Msasani and Karume Road in Oysterbay neighbourhood by three gunmen who had three cars and two motorbikes.

His wife Veronica reported to the local authorities and Kenyan High Commission about the incident.

Ongangi has been running a transport business between Dar es Salam, DRC Congo, Zambia and Rwanda.

Kenyan High Commissioner to Tanzania Dan Kazungu confirmed the incident and added they are working with local authorities to solve it.

“We are aware of the incident and the mission is seized of the matter. The mission is working around the clock and will be sharing progress reports of this matter,” he said.

The motive of the incident is yet to be established. It is not clear if the abductors had contacted the family of the victim with demands.
Mshauri wa nini tena? Wa biashara? Kama ni siasa mbona siyo mtanzania!
 
Back
Top Bottom