Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂 Vyombo vya "dollar" labda.MK254
Hili eneo la jijini Dar-es-Salaam, Tanzania la Makutano ya barabara za Karume na Msasani ambapo pana shule kubwa ya Oysterbay yenye mamia ya wanafunzi wa watoto wa vigogo, Makazi makubwa ya Raia wa kiChina, makazi ya mabalozi kadhaa, nyumba za viongozi wa juu Tanzania zipo karibu kabisa na shule hiyo basi huyo raia wa Kenya aliyepatikana na tukio hilo anaweza kuwa mikononi mwa 'mikono salama'.
Tusubiri vyombo vya dola vya Tanzania vifanye kazi yake na kutoa taarifa kwa umma wa Tanzania na wageni waishio Tanzania ikiwemo familia ya huyu ndugu wa Kenya.
MK254 fanyia kazi ushauri huu bila kuchelewa!nashauri wakenya muanzishe campaign maalumu ya kutaka huyo jamaa apatikane akiwa hai.
pazeni sauti zenu dunia yote ijue. fanyeni kama sisi watz tulivyopiga kelele kuhusu kauli ya jaguar.
vinginevyo anaweza asipatikane. tz ya jiwe sio ya kikwete.
Mkenya mshauri wa siasa za Tanzania?Aisee...
Kwa hiyo Zitto alikuwa na msaidizi was siasa mkenya Sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi huko?Kwa ninavyomjua zitto, kesho tu watamuachia Wenyewe
Kwani umeambiwa three people or three gunmen. Kwani haiwezekani kwenye magari na motorcycles kukawa na other people lakini walioshuka na kuonekana wakawa three gunmen?Three gunmen with three cars and two motorcycles - How were they driving them if at all they were only three!? Uongo mwingine bhana!
Neno hapo linaloleta utata kama unajua lugha ya kingereza vizuri ni "WITH" kama angeweka "IN" basi ingeeleweka kama unavyoelezea wewe. Hilo tu.Kwani umeambiwa three people or three gunmen. Kwani haiwezekani kwenye magari na motorcycles kukawa na other people lakini walioshuka na kuonekana wakawa three gunmen?
Kwani umeambiwa hiyo s5atement ni matokeo ya upekelezi au ni taarifa ya mashuhuda, mashuhuda wataongea mengi hata ili mradi yalionekana kwenye mazingira ya tukio lakini ni matokeo ya uchunguzi yatskayoonsema kama kila kilichohusishwa ni kweli kinahusika au lah!
Sasa kama wewe unaona kwamba 'IN' ndiyo ingeeleweka, itaelewekaje ikiwa utasomeka Three gunmen 'IN' three cars and two motorcycle? Kwa kiingereza chako hiyo ndiyo unaona inaeleweka.Neno hapo linaloleta utata kama unajua lugha ya kingereza vizuri ni "WITH" kama angeweka "IN" basi ingeeleweka kama unavyoelezea wewe. Hilo tu.
One man siyo one menSasa kama wewe unaona kwamba 'IN' ndiyo ingeeleweka, itaelewekaje ikiwa utasomeka Three gunmen 'IN' three cars and two motorcycle? Kwa kiingereza chako hiyo ndiyo unaona inaeleweka.
Hujui kuwa inawzekana ikawa 'one men can be with ten cars?'
Aisei... ndio mshakua Nigeria kabisa maana kule hata rais wao anawaogopa sana hao wasiojulikana.