ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Sasa mambo ya kujiboost ndio nini, ufie Lodge kisa papa mkuu? 40+ muhimu kuzingatia afya.Upige papa chini sasa utafanya shughuli gani hapa duniani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mambo ya kujiboost ndio nini, ufie Lodge kisa papa mkuu? 40+ muhimu kuzingatia afya.Upige papa chini sasa utafanya shughuli gani hapa duniani?
Ni aibu linapobumburuka,hata Mtu mwingine utazodoa tu kabla weye hayajakufika.Aibu mtu mkubwa anachepuka .
Kwa kweli Mkuu, maana last time niliwahi kujaribu na kabinti ka Mwaka 2000Ww umejiishia acha kabisa hiyo michezo
Ndiyo maana nimewashauri Wazee wenzangu, Kwa huu umri tulionao tubakie kula Kwa macho tu 🤗Acheni kuwalaum ke kila mtu ale kwa urefu wa pumzi yake 🤣🤣🤣 ukitaka kukoleza moto kwa hisani ya alkasusu matokeo yake ndio hayo.
Pamoja na hayo, lakini hiyo pumzi Kwa Wazee wa Umri wangu tunaitolewa wapi kama sio kufa kama huyo mwenzetu 🤗Sasa si aheri vumbi linatia ganzi ili uinjoy kukaa hewani muda mrefu. Haliumizi moyo vumbi.
Aibu mtu mkubwa anachepuka .
🤣🤣🤣 comment imekaa kimkakatiNdiyo maana nimewashauri Wazee wenzangu, Kwa huu umri tulionao tubakie kula Kwa macho tu 🤗
Pamoja na hayo, lakini hiyo pumzi Kwa Wazee wa Umri wangu tunaitolewa wapi kama sio kufa kama huyo mwenzetu 🤗
Alikuwa anafanya matusi au ????Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Alikuwa anafanya matusi au ????Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Hahaha.............ndiyo ukweli huo lakini🤣🤣🤣 comment imekaa kimkakati
salome noma!!Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Viagra 100gram😭😭😭Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.