Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za kiume

Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Vijana wanatakiwa wajifunze kula vitu vizuri mapema ili ikifika umri huo unapiga vitu kistuff🤝

Haya mambo ya kukamia mbususu na mtu yuko 50yrs plus ni kutafuta kudhalilisha familia yako na kudhalilisha ukoo.

Kwa sasa ukoo na familia ya huyu mwamba ipo na machungu namna mbili😣😣😣
 
Mbowe afia guest 🤣🤣🤣🤣 mbowe huyu huyu au
Waandishi wa habari wa siku hizi hawajui vitu magazeti ya Shigongo yalikuwa yanaandika kuteka atension enzi hizo😀😀😀

Yule Shigonga na magazeti yake ya udaku mbinguni haendi.Jamaa alikuwa amedhamiria kwa uandishi wa lugha tata.Unakuta Kichwa cha habari(front fedi) hakilandani na stori ndani ya gazeti.🙌🙌🙌
 
huwa nasema kwamba uzee ndo muda halali wa kufanya punyeto,

wazee wengi wana zile hisia lakini nguvu ya kazi hawana, na magonjwa hatarishi juu,

inaweza onekana mzaha ila wazee wapige nyeto tu, waachane na wanawake.
Kijana unataka wazee waandamane mpaka Ikulu chamwino kwenda kushtaki kwa rais.Acheni kuwanyanyapaa😂😂😂


Mtu kama huna shida sana ya kusaka hela ni heri ubalance mambo maishani.Tafuna mbususu mpaka uone kibao kinasema ENOUGH IS ENOUGH!!! Ili sasa uzeeni utulie na kutubu.Hizi laana na aibu kwa familia na ukoo sio poa kabisa.
 
Vijana wanatakiwa wajifunze kula vitu vizuri mapema ili ikifika umri huo unapiga vitu kistuff🤝

Haya mambo ya kukamia mbususu na mtu yuko 50yrs plus ni kutafuta kudhalilisha familia yako na kudhalilisha ukoo.

Kwa sasa uko na familia ya huyu mwamba ipo na machungu namna mbili😣😣😣
Naunga mkono hoja

Hilo ni jambo muhimu sana Kwa Vijana kuzingatia

Ndiyo maana mwaka 47 kulizuka msemo wa "vunja mifupa kama meno yapo"

Ukisubiri ule bata Uzeeni, hayo ndiyo madhara
 
Nashangazwa na baadhi ya comments za walio wengi.......yaani mtu anamuona mtu wa miaka 50 ni mzee sana........

Miaka hiyo hana uzee wowote tena ukiwa unajitunza mpaka utakuwa unawashangaa wenzako uliosoma nao......

Mtu wa miaka 50 ukiona una experience upungufu wa nguvu za kiume usisingizie umri....nenda katafute mapema.....wewe ni mgonjwa......

Watu wana miaka 70 lakini bado wapo active kwenye service... itakuwa wewe wa miaka 50......

Tatizo vijana wanaimaliza na kuichakaza sana miili yao kwa anasa za pombe Kali, mavyakula mabovu, masigara......na mtu anaweza hata kukaa mwaka hajawahi kufanya kazi ya kumtoa jasho.....

Akipanda ngazi anashikilia balcony kama kiwete.......

Kijana amka fanya mazoezi chunga afya yako.......

Umri huo mikoa ya kusini na Songea watu wanawaza kuongeza mke......

Vijana wa mjini wameharibika Sana........
 
Nashangazwa na baadhi ya comments za walio wengi.......yaani mtu anamuona mtu wa miaka 50 ni mzee sana........

Miaka hiyo hana uzee wowote tena ukiwa unajitunza mpaka utakuwa unawashangaa wenzako uliosoma nao......

Mtu wa miaka 50 ukiona una experience upungufu wa nguvu za kiume usisingizie umri....nenda katafute mapema.....wewe ni mgonjwa......

Watu wana miaka 70 lakini bado wapo active kwenye service... itakuwa wewe wa miaka 50......

Tatizo vijana wanaimaliza na kuichakaza sana miili yao kwa anasa za pombe Kali, mavyakula mabovu, masigara......na mtu anaweza hata kukaa mwaka hajawahi kufanya kazi ya kumtoa jasho.....

Akipanda ngazi anashikilia balcony kama kiwete.......

Kijana amka fanya mazoezi chunga afya yako.......

Umri huo mikoa ya kusini na Songea watu wanawaza kuongeza mke......

Vijana wa mjini wameharibika Sana........
Miaka hamsini ni lizee kabisa

Acheni denials
 
Back
Top Bottom