Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

52 bado tu kuruka ruka na malaya? 52 ilitakiwa awe kwa "mama yoyoo" wake nyumbani na si vichangu gesti.

Sasa binti wa 27 na yeye 52 mishipa ishajaa cholesterol lazima atumie vitu vya kupump damu na ndiyo matokeo yake lazima ufie kifuani ,amenikumbusha yule mzee wa miaka 80 aliyeariki naye kifuani Goba kwa Ndambi.
 
Hayo madawa ndiyo yanafanya Wazee wengi kufia kwenye vinena vya Wanawake, maana unakuta ghafla moyo umesimama kusukuma damu

Mimi tangu nimwone rafiki yangu marehemu Mzee Kingazi akifia guest na binti wa miaka 23 mwaka 47

Nikajiapiza, kutokutumia hayo ma blue pills
Ni kweli ni Bora upige zako low performance kwa uwezo wako binafsi kuliko kuipambania 😅
 
Back
Top Bottom