Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Aibu mtu mkubwa anachepuka .

Maiti haina aibu.labda itabaki kwa familia yake na kwa huyo binti wa miaka 27.

Yaani uzinifu unaanza kusababisha watu wanaweka turubai na kuanza kuchangishana michango ya kusafirisha msiba kuelekea kilimanjaro.Sasa kigugumizi wakati wa kusoma historia ya marehemu.

Shetani huwa anatia upofu watu.usikute huyo Mbowe alishamkataaga shetani na kazi zake zote.
 
Ukivuka tu 35 zingatia haya:

1. Jua BP yako ikoje
2. Jua sukari yako ikoje
3. Jua cholesterol yako ikoje
4. Jua moyo wako ukoje
5. Jua Cardiovascular system yako ikoje
6. Jua peak ya mapigo yako ya moyo
7. Pata ushauri wa daktari kabla ya kumeza viagra au booster nyingine

Miaka 78 sasa. I have lost more than 6 close friends kwa ujinga huu wa kufakamia viagra bila kupima presha na cardiovascular systems. RIP Rafiki yangu mzee Guga wa Bariadi. RIP Mzee Sayi wa Misungwi kwa mshtuko wa moyo siku ile ukihangaika na Amina...Aaaaargh! So painful!
 
Ukivuka tu 35 zingatia haya:

1. Jua BP yako ikoje
2. Jua sukari yako ikoje
3. Jua cholesterol yako ikoje
4. Jua moyo wako ukoje
5. Jua Cardiovascular system yako ikoje
6. Jua peak ya mapigo yako ya moyo
7. Pata ushauri wa daktari kabla ya kumeza viagra au booster nyingine

Miaka 78 sasa. I have lost more than 6 close friends kwa ujinga huu wa kufakamia viagra bila kupima presha na cardiovascular systems. RIP Rafiki yangu mzee Guga wa Bariadi. RIP Mzee Sayi wa Misungwi kwa mshtuko wa moyo siku ile ukihangaika na Amina Iselamagazi Ng'wenekele....Aaaaargh! So painful!
Utataja na dada zetu KAUSHA basi
 
Si ndio hapo. Kwa umri huo anataka agundue nini? Mwamba unaweza kuta ni mwana JF kadanganywa na wadau humu.
Mambo ya kusimamia ukucha tuwaachie Vijana.

Sisi Wazee iwe unapiga kimoja cha sekunde 25 unalala zako hadi baada ya Mwezi mmoja tena 🤗
 
Labda Kwa sababu ya umri wangu, lakini sijawahi kuzidi sekunde 25

Kuna mtu fulani aliwahi kuiweka mdomoni Mwaka 47

Lile joto, nikajikuta Kwa sekunde 20 nikawa nimemaliza 🙌

Bora tumezeeka sasa 🤗
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila jamanii
 
Huyo ndiye amekutafuta, ni kwa ajili ya kujifurahisha yeye si wewe. Hivyo ikiwa ni Sekunde moja, mnavaa na kuondoka ili mradi posho yako ipo pale pale
Sawa mkuu
 
Majina ya mbowe wanakuaga wahuni wahuni 🙌
 
Back
Top Bottom