Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
TawilePumzika kwa amani mpiganaji. Haya mambo yanaweza kumpata mtu yoyote wakati wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TawilePumzika kwa amani mpiganaji. Haya mambo yanaweza kumpata mtu yoyote wakati wowote
Utaskia "nilipga zangu vitatu ikabidi nisepe...nilikuwa na haraka sana"😅😅😅Ni masikitiko mkuu, afya kwanza aisee..
Hawa wanaoleta story za kua wapo vizuri kitandani wengi ni waongo. Sasa akili ndogo hudhani kua basi wao ni goigoi kumbe wako sawa tu ni vile tu wao hapendi kudanganya, wanayachukua na kwenda kutafuta means ya kuwakomesha Ke ili kwenye story waje na story za kweli ilhali wenzao wanadanganya kufurahisha gang.
HAPANA, INAITWA: NO REFORMS NO ERECTIONHii inaitwa no reforms no elections
YeahAtakuwa alipiga Viagra bila ushauri wa Dr!
Mzee piga kimoja Chali pumzikaHakika Mkuu, yanini kujiumiza kiasi hicho
True..kuna umri ukifika... usitake kukomoa mwanamke, piga kimoja cha afya... aondoke zake akakunwe na vijana huko
Erecto gram 100 hiyo kazi yake!!Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Na CIPLA wanajivunia hii product yake inaliwa Kama karanga.Erecto gram 100 hiyo kazi yake!!
Kaka nimesema kuoa sijagusia ladha ya mbususu mimiTena huyo ndio mtamu kutaste utamu wa mbususu ambayo tamuuu mpaka mtu anakata roho
Wamekufa wote au yeye tu? Maana habari yako Ina utataJeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
katoto ka afu mbili kakamchekecha mpaka akafaUkute nae ni kataa ndoa
Kwahiyo nishakuwa mzee sasa?Huyo mzee sio Chaliifrancisco kweli?🤔
Nilivyoona upo kimya nikadhani ndiye MboweKwahiyo nishakuwa mzee sasa?
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa taarifa za kufariki kwa mfanyabiashara Simon Mbowe (52) ndani ya nyumba ya wageni (Gesti House), tarehe 19, Februari 2025 huko Matawale wilayani Songea ambapo kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Marco Chilya amesema Simon amekutwa akiwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina Salome.
Sijasoma ila naona jibu lako litakua sahihi dakitaree.