Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Mfanyabiashara Simon Mbowe (52) afia gesti akiwa na binti wa miaka 27 Songea

Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za kiume

Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Shida inaanza kutaka mridhisha binadamu badala ya kujiangalia wewe na afya yako.
Binafsi nilishasema siwezi mridhisha mwanamke, daima nitajifikiria mimi kwanza.

Viagra ukitumia unaweza hisi una tatizo la macho
 
Kusema kweli katika vitu naogopa kufanya ni kushiriki ngono Kwa usaidizi wa Viagra ama dawa za kuongeza nguvu za kiume

Kwani ukipiga kimoja cha sekunde 25 unakuwa hujainjoi 🤗
Babu ulichosema ni sahihi, matumizi ya booster ni hatari kwa afya, nasikitika sana kuona vijana wadogo wanakimbilia hizi booster athari zake ni kubwa.
 
Shida inaanza kutaka mridhisha binadamu badala ya kujiangalia wewe na afya yako.
Binafsi nilishasema siwezi mridhisha mwanamke, daima nitajifikiria mimi kwanza.

Viagra ukitumia unaweza hisi una tatizo la macho
Umesema sahihi Mkuu, hao viumbe sio rahisi kuwaridhisha

Ndiyo maana tendo lilikuwa ni kwaajili ya kuzalisha tu, sio starehe kama ilivyo sasa
 
Babu ulichosema ni sahihi, matumizi ya booster ni hatari kwa afya, nasikitika sana kuona vijana wadogo wanakimbilia hizi booster athari zake ni kubwa.
Wanataka waonekane wanajua kukamia mechi

Hawajui magonjwa mengi ya moyo husababishwa na hizo booster zao pamoja na energy drinks wanazokunywa huku wakichanganya na Panadol 🙌
 
Uzuri mzee mwenzetu hajatuangusha! Sasa wewe mzee ukachepue na mzee mwenzio utakuwa na faida gani hapa duniani? Maana kama mzee si umemwacha nyumbani?
 
Ndio kawaida ya kina mboye lakini.

Kuna yule mstaafu wa chama chetyu akiwa kwa mchepuko alitengua kiuno akadai majambawazi yamemteka.
 
Kapumbavu wewe! Sekunde 25 umekuwa kuku? Nyie ndio tunawaita tako moja!
Ukibadiri style ndiyo labda utasogea sogea hadi sekunde 45, lakini mara nyingi ni shwaa shwaa sekunde 25 umemaliza kazi 🤗

Kupiga Chini ya sekunde 25, kunasaidia sana hasa kwa Dunia hii ambayo sio rahisi kumridhisha Mwanamke ambaye naye anatumia dildo kujichua
 
Kwa kweli haina budi mpaka mwezi ujao 😊
Sio kujitutumua na kumeza ma blue pills
Hayo madawa ndiyo yanafanya Wazee wengi kufia kwenye vinena vya Wanawake, maana unakuta ghafla moyo umesimama kusukuma damu

Mimi tangu nimwone rafiki yangu marehemu Mzee Kingazi akifia guest na binti wa miaka 23 mwaka 47

Nikajiapiza, kutokutumia hayo ma blue pills
 
Back
Top Bottom