OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Rekebisha hii tying errorMiaka 78 sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha hii tying errorMiaka 78 sasa.
Humu kumejaa vitoto vya 2000 vya kike na kiume. Hata mtu mwenye 40s wanamuona mzee asieweza chochote.Mbona hiyo miaka ni kawaida tu kupiga shoo
Tunapenda kujifunza kwa majuto ndio shida yetu.Wanataka waonekane wanajua kukamia mechi
Hawajui magonjwa mengi ya moyo husababishwa na hizo booster zao pamoja na energy drinks wanazokunywa huku wakichanganya na Panadol 🙌
Hapana babu😂😂haitoshi unless maandalizi kabla ya sekunde 25 yawe mazurii🤣🤣🤣Lakini si kinatosha Mjukuu, ama unakuwa kama umeonjeshwa asali😜
Kumbe ningekuwa kijana Kwa sekunde zangu 25 ningekuwa nimeachika zamani na Kila mrembo 🤗Hapana babu😂😂haitoshi unless maandalizi kabla ya sekunde 25 yawe mazurii🤣🤣🤣
Ni hatari sana aiseeTunapenda kujifunza kwa majuto ndio shida yetu.
😂😂hapana babu ila ungesaidiwa sanaa😂Kumbe ningekuwa kijana Kwa sekunde zangu 25 ningekuwa nimeachika zamani na Kila mrembo 🤗
Wengi hawaelewi hiyo mkuu.Ni hatari sana aisee
Hata HIV ni rahisi sana kuipata ukiwa unakamia sana mechi
Maana unakuta hata Ute Kwa Mwanamke umekata
Umeambiwa ni mpenzi wake sio mchepukoAibu mtu mkubwa anachepuka .
Ni kweli ni Bora upige zako low performance kwa uwezo wako binafsi kuliko kuipambania 😅Hayo madawa ndiyo yanafanya Wazee wengi kufia kwenye vinena vya Wanawake, maana unakuta ghafla moyo umesimama kusukuma damu
Mimi tangu nimwone rafiki yangu marehemu Mzee Kingazi akifia guest na binti wa miaka 23 mwaka 47
Nikajiapiza, kutokutumia hayo ma blue pills
Hakika Mkuu, hayo yote ni kujilisha upepo 🤗Ni kweli ni Bora upige zako low performance kwa uwezo wako binafsi kuliko kuipambania 😅
Yaani ni hatari 🙌Wengi hawaelewi hiyo mkuu.
Kwenye 50+ ndo wanapatikana akina Baltazary.Nyapu imezima kidume!" ! Nasikikiaga watu wazima 50+ performance hushuka sana., sasa mtu anatumia madawa kujibust, ili aendane na kasi ya mtoto wa elfu 2, mwisho wa siku presha inamchukua
Hahahaha...........bora tumezeeka sasa 🤗😂😂hapana babu ila ungesaidiwa sanaa😂
Hujakutwa na uhitajiAibu mtu mkubwa anachepuka .