DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hii habari ni ya siku nyingi kidogo mwanzo wa mwezi hivyo edit habari ili kutoa mkanganyiko "amepotea leo siku ya 7".

Weka na picha pia mkuu isaidie watu kumtambua.
Mtu mwenye akili timamu anaelewa vizuri tu kama taarifa amecopy kutoka kwa ndugu na ameisambaza hapa.

Ukipata mkanganyiko ndio ujijuwe huna akili.
 
Sasa kila mtu akimiliki silaha si itakuwa ni suicide missions tu kila uchao. Maana ishu inakuwa sio kutekwa tena ni kupigwa njugu na wasiojulikana unaachwa ufie hapo hapo getini kwako.
 
Upole una faida na hasara zake. Mfano hapo hata kama si polisi hakuna raia waliohoji mnaangalia tu mwenzenu akipotea.
Hili nalo ni shida imgine hadi leo ndio taairifa zinasambaa wakati ilitakiwa usiku huo huo ziwe viral.

Watu wqnq simu na mitandao kwa ajili ya mpira wa yanga tu na kujadili mapenzi.
 
Nadhani tuwe na sheria ya kumiliki silaha ya lazima kwa kila raia. Sababu ni kuwa inawezekana kuna organized crimes ambapo kuna mafia group watu wakidhulumiana basi kinatumwa kikundi kumteka mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ