Mfanyakazı wa ndani awanywesha mkojo mabosi wake, wamkamata

Mfanyakazı wa ndani awanywesha mkojo mabosi wake, wamkamata

Hajatenda kosa. Tumieni njia mbadala (Msimhoji nyie mobosi wake). Tumieni wataalam e.g. Polisi wa Dawati la jinsia au Ustawi wa Jamii au Hata rafiki zake. Zingatieni kuwa mkojo binafsi waweza kuwa na matumizi binafsi. Mkojo sio sumu. Aliuhifadhi kwa malengo. Mwendeeni kwa utaratibu mtagundua kilichojiri hata akakusanya mkojo wake na kuuhifadhi vizuri kwa matumizi ya badaye. Hapo hazungumzi kwa sababu ya aibu na mmemvamia kwa hasira, vitisho, maswali magumu, kumrekodi na kumtuhumu kwamba anawanyweshaga mikojo. Mpeni nafasi/muda atajieleza. Poleni sana.
 
Duuu!!
Hii hatari... Binadamu tuna mambo.
Sasa msos si unatoa harufu ya ammonium!!
Hawakugundua mapema??
 
Back
Top Bottom