Mfumuko ni 50% wa nini ?Una maana inflation?Fafanua wacha kuandika sweeping statements bila ushahidi wa data.Mfumuko ni over 50% nyongeza just 23.3% wakati kwa miaka 5 iliyopita hakuna nyongeza na mfumuko ni less than 10%
World bank hawanunui Unga wala mchele huku mtaani.Mfumuko ni 50% wa nini ?Una maana inflation?Fafanua wacha kuandika sweeping statements bila ushahidi wa data.
Huo mfumuko umeupataje?Kwa data zipi za kitaalamu?Inflation rate kwa October 2021 ilikuwa 4,1% kwa mujibu wa World Bank.
Sasa hesabu za asilimia 50 umezitoa wapi?
Dah.... Nimecheka gaflaWewe sio mfuasi wa Magu vinginevyo ungemfuata huko aliko ili mkaongoze malaika..
Nenda ukanye mavi chooni pengine ubongo wako utapata wepesi. Kama hukuteseka na Magufuli pengine wewe ni msukuma kama Makonda au BashiruAlikutesa wapi ni bendera fuata upepo, we una nini kiasi cha kuteswa na JPM?
Hawakuwa na safari za hovyo hovyo ndani wala nje ya nchiMbona Magufuli wako alikuwa haongezi mshahara na wabunge walikuwa wakilipwa unono?
Kwa hiyo hoja imebadilika tena sio mishahara mikubwa kwa wabunge na mawaziri bali ni kusafiri!?Hawakuwa na safari za hovyo hovyo ndani wala nje ya nchi
Jamaa anaulizwa swali anajibu asichoulizwa.Waalimu Nchi wamefanya na wanafanya kazi kubwa sana.Kwa hiyo hoja imebadilika tena sio mishahara mikubwa kwa wabunge na mawaziri bali ni kusafiri!?
Acha kelele za majukwaani.Nenda ukanye mavi chooni pengine ubongo wako utapata wepesi. Kama hukuteseka na Magufuli pengine wewe ni msukuma kama Makonda au Bashiru
Roho mbayaaaa kama ya KengeKwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.
Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.
Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.
Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.
Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?
Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k
Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.
Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.
Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi
Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Hakika...Wapumbavu watabisha.
Ni kweli mkuu,lakini najaribu kujiuliza kwa sauti kidogo.Kwanini Mama hakutangaza increment siku ya Mei mosi ambayo siyo Sheria lakini kiutamaduni ndiyo tumezoea kusikia taarifa njema Kama hizi,lakini pia baada ya mafuta kupanda na effect yake kuonekana kitaa tukaona vikao vya dharura na vya usiku vya wakubwa wetu,kujaribu kupooza machungu kidogo na matokeo yake yakaoneka angalau kiduchu.Hata hii ni Ni utopolo mtupu, hivi unafuatilia hali ilivyo nchi nyingine duniani? Mfano hata Kenya, Uganda, South Africa, Uingereza, China, Canada n.k?
Huko kote kuna mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa kipindi kirefu, sasa Tanzania ambayo ni importer ingeacha vipi kuathirika?
Samia asingeongeza si ndio ingekuwa balaa zaidi?
Kidogo naona tunaweza kujadili kitaalamu bila siasa za hovyoNi kweli mkuu,lakini najaribu kujiuliza kwa sauti kidogo.Kwanini Mama hakutangaza increment siku ya Mei mosi ambayo siyo Sheria lakini kiutamaduni ndiyo tumezoea kusikia taarifa njema Kama hizi,lakini pia baada ya mafuta kupanda na effect yake kuonekana kitaa tukaona vikao vya dharura na vya usiku vya wakubwa wetu,kujaribu kupooza machungu kidogo na matokeo yake yakaoneka angalau kiduchu.
Sasa point yangu ni hii,nikweli Kuna mfumuko wa bei unaosababishwa na external factors Kama hizi za Urusi na UKrain,Covid,n.k lakini pia brain yetu ya kiuchumi bado ina nafasi, ya kupunguza haya makali,inawezekana increment ya mama ni sehemu ya strategy hiyo ndiyo maana haikuwa tayari May mosi imekuja baada ya makelele ya mtaani.Pamoja na kazi kubwa ya kina Mwigulu na wenzake lakini bado wanaweza kupunguza tena hata Kama ni kidogo zaidi.
Uko sahihi, ndiyo maana nilisema kuwa kina Mwigulu wangeweza au wanaweza kufanya zaidi ya hapo,hata Kama hawatamaliza lakini angalau watapunguza hata kwa nukta kadhaa Kama walivyotuambia mafuta yatashuka kwa Tsh 29.Kidogo naona tunaweza kujadili kitaalamu bila siasa za hovyo
Mimi binafsi naona ni bora asingepandisha mishahara kisha hiyo hela ikatumika kutoa ruzuku itakayotumika kupunguza bei ya mafuta kwa kipindi kirefu na kiwango kikubwa zaidi
Maana mishahara itapanda kwa wafanyakazi tena wa serikali tu, na 90% ya Watanzania sio wafanyakazi wa serikali, ila mafuta yangeleya unafuu kwa wote