Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Msoto umekufanya upate akili.
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
uhuni wa kupindukia.

WA-IMG-20220516-c07c8df4.jpg
 
Si kila mtu lazima aandike mada JF wewe muandishi hakika umepotoka na kupotosha. . Magufuli hakujali watumishi kwa lolote lile...hata yale aliyo yafanya kwa ajili ya watumishi ilikuwa ni kwa shida sana....kiufupi wewe hukumjua vyema Magufuli japo unajiita mfuasi wake.
 
Lazima tuwapigie kelele mburula kama nyinyi ambayo àkili zenu zimeganda kwa propaganda za DIKTETA wa Chato
Mwamba ule. Credit zake 100% kwa kujisimamia kuhusu covid 19 no lockdown
10% kwa rafu za uchaguzi japo na upinzani akili zao ni mgando ni kama walistahili kufanyiwa hvyo.
0% kwa kauli kuhusu wahanga wa tetemeko huko kagera.
90% kwa uongozi unaowafaa watanzania vichwa vya mwendawazimu.
 
Mwamba ule. Credit zake 100% kwa kujisimamia kuhusu covid 19 no lockdown
10% kwa rafu za uchaguzi japo na upinzani akili zao ni mgando ni kama walistahili kufanyiwa hvyo.
0% kwa kauli kuhusu wahanga wa tetemeko huko kagera.
90% kwa uongozi unaowafaa watanzania vichwa vya mwendawazimu.
Kasimamia wapi COVID 19 vizuri wakati Yeye mwenyewe kafagiliwa na COVID 19? Watu wamekufa kizembe wengi tu mwenyewe naye kaondoka nao
 
Kasimamia wapi COVID 19 vizuri wakati Yeye mwenyewe kafagiliwa na COVID 19? Watu wamekufa kizembe wengi tu mwenyewe naye kaondoka nao
Wapi hawakufa? Mbona waliofunga nao walipukutika? Na ww wangekufungia ungesepa kwa njaa shukuru mwamba. Ulijitolea bora ufe ila watanzania wabaki wakitafuta siyo hawa wawinda misaada kupitia majanga.
 
Wapi hawakufa? Mbona waliofunga nao walipukutika? Na ww wangekufungia ungesepa kwa njaa shukuru mwamba. Ulijitolea bora ufe ila watanzania wabaki wakitafuta siyo hawa wawinda misaada kupitia majanga.
Eti unamuita mwamba, wakati mtu alikuwa na ngozi impauka na mabaka kama mamba. Eti mwamba mtu anaishi na kibetri cha kumsaidia kuongeza mapigo ya moyo na UKIMWI pia
 
Eti unamuita mwamba, wakati mtu alikuwa na ngozi impauka na mabaka kama mamba. Eti mwamba mtu anaishi na kibetri cha kumsaidia kuongeza mapigo ya moyo na UKIMWI pia
Sasa ulimuogopa wa nini kama alikuwa wa hivyo hadi unaropka wakati alishakwenda zake? Mnahangaoshwa na marehemu 😁😁 akirudi si wote mnazimia nyie na kupata shambulio la moyo
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
suala la kupandisha mishahara ni suala la kisheria. ukiona mtu/kiongozi yeyote analichukulia poa ujue huyo hamnazo na hajui lolote au kutojali haki za watu.
unatetea kutopandishwa mishahara na yule mpuuzi wenu aliyekufa je hukumbuki wapo watu walishastaafu kwa kiwango cha mshahara ambacho hakijaongezwa, walistahili kuongeza na wamepunjwa mafao yao?
si mkalifufue sasa
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Na wewe kwako vipi mfumuko wa bei maana unaongelea watumishi wa umma.
 
Back
Top Bottom