Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Huihui we ni mshenziiiiiii,huwa unawanyanyapa punda kuangalia nyeti zao.Tutakupeleka desk la wanyama.
Kama unabisha nitakuletea nyeti za punda halafu ulinganishe na kichwa cha yule DIKTETA wa Chato.
 
Unavyoongea utafikiri hujawahi kufiwa. 😁😁 fika sehemu ukute wanamuongelea vibaya marehemu ndg yako uone utakavyojisikia hata kama alikuwa mtenda maovu kwenye jamii.
Nikikuta watu wanamsema marehemu Magufuli nitawanunulia round ya kinywaji wanachotumia, na kama ni wakristu nawanunulia na kilo 2 za kitimoto.

Wacha tusherehekee kifo cha Magufuli kwa Raha zetu. Shetani yule alitutesa
 
Kimoja kilichochangia mfumuko wa bei ni ile miradi ya awamu ya 5. Serikali inapotumia hela nyingi kwenye miradi inashusha thamani ya fedha na matokeo yake ni vitu kupanda bei.
 
Mkuu
Asante kwa bandiko zuri
Huo mshahara tunaoshangilia Hadi utoke na Tuone mfumuko wa bei utakuwaje ndio tushangilie !
Kwa Sasa tusishangilie hewa!
Mambo Bado!!!!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hiyo 60000 unayoidharau mtumishi anaweza kwenda kuikopea bank na akapata mtonyo wa maana ukamsaidia kwny mizunguko yake ya biashara.wahitimu wengi wanaonja joto la jiwe miaka sita no ajira watumishi walikuwa hohehahe kwa hili samia kaupiga mwingi ajitahidi tu kupunguza graduate mtaani.kipindi cha jiwe tuliambiwa walimu wanatosha na kuzidi leo hii inakuja report kuna upungufu wa waalimu 100000+ jamaa hakuajiri eti stiglers gorge
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Wafanaykazi wengi wa Tz akili zao ni za panzi yaani wanashangilia utadhani kuna jambo kubwa limefanyika kumbe ni utapeli tupu, kwanini makatibu wa CCM wote walipandishiwa mishahara yao kwa 100%?
 
Hapa wamesagiwa vipande vya chupa wakapewa, dhahabu yao wamechukua!
Hesabu ni muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu!
 
Wewe ni maQallio sana.
Huniambii kitu kuhusu huyo shetani wako Magufuli.
Eti watu walupandishwa vyeo kwa kukopwa.
Mwendawazimu kabisa wewe.
Hebu toa kinyongo chako utakufa mapema.
Haya waandikie UV CCM wenzako, sisi ambao tumeingia kwenye ajira kabla hata Magufuli hajawa Rais hutuongopei kitu.
Kwa bahati nzuri niko wizara ya Ujenzi ambayo Magufuli alikuwa Minister.
Huniongopei chochote
 
Kimsingi alichofanya ssh kwenye Mshahara ni kumpunguzia mfanyakazi makali ya Mfumuko wa bei. Hakuna nyongeza yoyote ambayo mfanyakazi anabakiwa nayo kama akiba.

Kwangu mimi Pesa wakati wa Magufuli ilikuwa na purchasing power kubwa ingawa ilikuwa inapatikana kwa jasho.

Tuupime Mshahara wa mama katika manunuzi siyo katika namba Kabla ya kushangilia na kusifia kama mazuzu
 
Hongera mkuu Benson angalau umekomaa,umeanza kuleta mada jukwaani ambazo zinasomeka lakini pia zina jadilika kwasababu zina maslahi kwa watu,nikwambie ukweli kipindi cha nyuma kidogo ilikuwa tukiona thread zako hata hatuhangaiki kufungua tunajua ni utopolo tu uliojaa mambo binafsi ya watu mara Mbowe mara Mrema mara Mnyika.Kuna hatua umesogea hongera zako mzee baba.
Kuhusu isue ya increment ya mishahara uko sahihi,lakini hata ungekuwa wewe unge opt njia aliyoichukua mama.Hali ya mfumuko wa bei iliyopo sasa kwa sera tulizonazo,kwa brain tuliyonayo inayosimamia na kuendesha mambo ya kiuchumi ningumu kurudi tulikokuwa kwahiyo acha tu waliopata increment wafurahie angalau hata Kama haitawasaidia kiuchumi lakini itawasaidia kisaikolojia.
Hata hii ni Ni utopolo mtupu, hivi unafuatilia hali ilivyo nchi nyingine duniani? Mfano hata Kenya, Uganda, South Africa, Uingereza, China, Canada n.k?
Huko kote kuna mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa kipindi kirefu, sasa Tanzania ambayo ni importer ingeacha vipi kuathirika?
Samia asingeongeza si ndio ingekuwa balaa zaidi?
 
Wana umoja/swing mtapata tabu sana na mnapata tabu sana kama walivyopata mnao waandama hivi Leo wenzenu wamepitia tanuru la moto na wameibuka kama dhahabu safi,nyie Nii kwanza kama mkaa wa mkorosho[emoji13]
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Mbona Magufuli wako alikuwa haongezi mshahara na wabunge walikuwa wakilipwa unono?
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Wewe ulilipwa hayo madeni lini. Watu hadi leo wanadai na wengine wamestaafu wakiwa bado wanadai.
 
Nikikuta watu wanamsema marehemu Magufuli nitawanunulia round ya kinywaji wanachotumia, na kama ni wakristu nawanunukua na kilo 2 za kitimoto.

Wacha tusherehekee kifo cha Magufuli kwa Raha zetu. Shetani yule alitutesa
Alikutesa wapi ni bendera fuata upepo, we una nini kiasi cha kuteswa na JPM?
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
watanzania mnaongea sana mpaka mnaboa khaaaa
 
Kimsingi alichofanya ssh kwenye Mshahara ni kumpunguzia mfanyakazi makali ya Mfumuko wa bei. Hakuna nyongeza yoyote ambayo mfanyakazi anabakiwa nayo kama akiba.

Kwangu mimi Pesa wakati wa Magufuli ilikuwa na purchasing power kubwa ingawa ilikuwa inapatikana kwa jasho.

Tuupime Mshahara wa mama katika manunuzi siyo katika namba Kabla ya kushangilia na kusifia kama mazuzu
Mfumuko ni over 50% nyongeza just 23.3% wakati kwa miaka 5 iliyopita hakuna nyongeza na mfumuko ni less than 10%
 
Back
Top Bottom