Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Kawaida ya wa mama sisi akiwamo MAMA YAKO.

Una jingine?!
Jingine ni kwamba wewe ni taahira kama mumeo huyu hapa 👇

2952061_JamiiForums569115795.jpg
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Ndugu, watu wote wakifungua macho hasa walimu na madokta, wakajua jinsi baadhi ya watumishi kwenye baadhi ya taasisi wanavyolipana mihela, niamini, nchi haitatawalika.
Mazwazwa sharti wawepo ili nchi itawalike.
 
Mkuu usidharau Nazi,,, Embe ni tunda la msimu tu
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Huyu sio mtumishi,hivyo anaona wivu watumishi kuongezwa mishahara
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Kidogo kidogo hujaza kibaba.
 
Huyu ni malalamiko fc

Ova
Huyu siyo kwamba analalamika, bali kilicho muumiza ni kuona Rais wa sasa ameweza kuongeza mshahara kitu ambacho "mungu" wake hakuweza kukifanya kwa miaka sita.

Anahisi kuwa Samia anapunguza "ligasi" ya "mungu" wake.

Aache ujinga kwanza kumbe hata hesabu hajui halafu anajifanya mjuaji wa mambo huku akidanganya uongo mkubwa kama "mungu" wake alivyokuwa muongo mara ooh tanzania ya viwanda! mara ooh miradi inatumia fedha zetu za ndani!

Ongezeko la 23.3% la kima cha chini cha sh 370000 ni sh 86,210 na siyo 30,000.
 
Kwanza naomba ifahamike kuwa mimi ni muumini na mfuasi wa siasa na sera za Magufuli na ninaamini ndie kiongozi Bora kuwahi kuwepo Tanzania na Afrika kwa miaka ya karibuni.

Kwa miaka mitano mishahara haikuwahi kupanda ila mfumuko wa bei ulidhibitiwa na watumishi wengi walilipwa malimbikizo yao ya madeni ya likizo, pensheni na kupanda vyeo na uhamisho. Wengi walipandwishwa vyeo kwa kukopwa. Cheo kimepanda ila stahiki zikabaki kuwa madeni. Magufuli alilipa hayo madeni.

Sijui kama Mungu angemjalia uhai mpaka leo ambapo Bwawa la Umeme lingekuwa limekamilika na SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi Je asingepandisha mishahara au angepandisha maana ahadi yake ni kuwa angepandisha mishahara baada ya hii miradi ya kimkakati kukamilika.

Naamini angepandisha mshahara na mfumuko bado ungekuwa chini.

Mama amepandisha mshahara kwa 23.3% Sawa ni jambo zuri je nyongeza hii italeta unafuu wowote kwa mfanyakazi?

Mathalani mtu aliyekuwa akilipwa laki 3 wakati Unga ni tsh 800-1000, mchele 1000-1500, mafuta ya kupikia 3000-4000, nauli ya daladala 300-600 mafuta ya petrol 1800-2000 leo hii atalipwa tsh 360,000+ lakini wakati huo huo Unga ni 1300-1600, mchele ni 2000-2800, mafuta ya kupikia ni 7000-8000, nauli ya daladala ni 500-1200, petrol ni 3100-3500 n.k

Swali ni je kwa mfumuko huu wa bei nyongeza hiyo itamsaidia nini mfanyakazi? Hapa ni Sawa na mtu mwenye presha anakula wali wenye chumvi kwa kusukumia na chai yenye sukari au kunywa pepsi kwa kuichanganya na maji huku ukiamini sukari hainaingia mwilini.

Mama anacheza na akili za wafanyakazi. Kwa gharama za maisha zilivyo sasa hata nyongeza ingekuwa 50% bado uwiano ungekuwa ni ule ule wa miaka 5 iliyopita ambapo hatukuwa na nyongeza.

Kumbukeni mfano wa Mwl Nyerere kuhusu yule zuzu na kipande cha glasi akidhani ni almasi

Wafanyakazi lilieni mfumuko udhibitiwe maana hamjui kesho vitu vitauzwaje na bando litakuwa bei gani. Fungueni macho ili mkiona muone
Wewe jitu Hovyo kabisa,..unanyota ya Pepopunda😉😉😁
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Usikute anafunuliwa kwa chipsi za elfu 5 na soda moja (sijataja jina la mtu).

Lkn kinywa chake kmejaa maneno machafu utadhani jalala la stendi.
Anashindwa kuheshimu watumishi
 
Back
Top Bottom