Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Mfanyakazi anayeshangilia Ongezeko la Mshahara hajui Hisabati

Ndugu pengine Una Hoja BUT ulivyoanza kujinasibu wewe ni mfuasi wa Magufuli umekosea sana. Ungeweza kuongea bila kumtaja the so called Magufuli ungeeleweka sana. Shukuru Mimi Nimesoma. By the way you may have a point
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 [emoji1]!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Nishakwambia kiharage kinawasha sababu kubwa hauna boyfriend wa kukuliwaza haya ndio madhara yake
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Hivi wewe Suzy Elias una kichwa au una cabbage juu ya shingo yako? Unaanzaje kubeza Tsh 30,000 wakati yule mungu wenu wa Chato mwenye kichwa kama pumbu ya punda hajawahi kuongeza hata Tsh 100/= kwa miaka 5.

Wasukuma tuacheni na Mama yetu Samia, wakati wenu wa kufanya UHAYAWANI ulikwisha 17/03/21
 
Kwamba mimi ndio sijui au huyu ndio hajui?. Kama mtu anapata laki 370,000. Nyongeza ya 23.3 nyongeza yake itakuwa 86,000. Au wewe unamaanishaje?
Wapi kwenye andiko langu nimeainisha % na kiasi ukiachilia mbali sijataja Taasisi yeyote?!

Endelea kufurahia hiyo nyongeza sasa ila nakuthibitishia haitokufaa lolote.
 
Hivi wewe Suzy Elias una kichwa au una cabbage juu ya shingo yako? Unaanzaje kubeza Tsh 30,000 wakati yule mungu wenu wa Chato mwenye kichwa kama pumbu ya punda hajawahi kuongeza hata Tsh 100/= kwa miaka 5.

Wasukuma tuacheni na Mama yetu Samia, wakati wenu wa kufanya UHAYAWANI ulikwisha 17/03/21
Lini tuliunganishwa na huyo mama yenu hadi ututake tuachanishwe naye?!

Dogo acha utani wa mke wa baba yako tafadhari asije pasuliwa manundu chumbani kisa unamnokolea ameunganishwa na Wasukuma.
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Lazima uvae bukta kichwani mwaka huu mpuuzi wewe!

Endelea kuumia Samia kuupiga mwingi na ukizidiwa rudi kwenu Rwanda
 
Unakuta mtu masikini wa Mungu analipwa laki tatu na sabini leo ameongezewa elfu 30 na kuwa laki nne anafurahi kama zwazwa vile!

Kiasi kile kile ndugu zwazwa anachokihangaikia kama malipo yake ya mwezi mzima kilaza mmoja ndani ya mjengo anakipokea kwa sitting allowance ya masaa yasiyozidi 6 😄!

Hakika mazwazwa hatutoisha!

Nb: Sijataja mtu ama Taasisi yeyote.
Kwa hiyo ulitaka wafanyeje kwa mfano? Mishahara ya serikali ni midogo wacha tu washangilie hakuna namna

IMG-20220515-WA0028.jpg
 
Ni kiasi kidogo, wewe pambana na kazi ya ziada ili ujiongezee kipato.
 
Back
Top Bottom