TRA ilitoa mwongozo wote wenye madeni sugu ya biashara kujitokeza ili kupanga mkakati wa namna ya malipo yake, wewe ulifanya hivyo kwenye hiyo biashara yako uliyoitelekeza?mkuu deni la kodi linageukaje kuwa kosa la uhujumu uchumi?
Sidhani mkuuNawewe ni miongoni mwao ππ
Mkuu umekuwa muoga!Sidhani mkuu
Huwezi kupata ukweli kwa kutumia TIN eti kwa kila mfanyakazi. Full Stop.Halafu ukija kuandaa hesabu zako za mwaka unafanyaje mkuu ili ubaki na faida kubwa??
Nikuibie siri ilivyokua inafanyika. Unalipa mishahara watumishi wako 50 tsh 300,000@ halafu kwenye mahesabu yako unaenda kuandaa kwa muhasibu/tax consultant unaandika umelipa watu 70 tsh 350,000@ kwa kuonesha labda daftari tu la mishahara na saini. Inapigwa hesabu mapato-matumizi(inflated) kinachobaki kinapigiwa hesabu Kofi
Sasa hivi itakua na TIN ya biashara na ya wafanyakazi 50 kwa mfano kilichoingia na kilichotoka tayari kinaonekana
Ila ofkoz njia nyingine za kukwepa zitapatikana tu(sitaziandika hapa) hahahaaa
Na wewe una utoto uliopitiliza. Kwa hiyo waajiri wote hapa tz wana kazi za day worker? Na hata kama ni vibarua huwa kuna mikataba ya kazi kama kibarua lazima mwajiri awe nayo. Na siyo kila iana ya kazi anatakiwa kibarua.Una utoto sana..
Kwamba muajiri nikiamua kuwafanya 50% muwe diwaka nashindwa vipi...
Watu gani hao mkuu?Kuna watu wanatafutwa hapo [emoji23]
Utaelewa tu with timeWatu gani hao mkuu?
Sawa ngoja niwe mpoleUtaelewa tu with time
Hapa siungi mguu hoja,kuna watu walirithishwa mali,kuna watu mikopo yao ya kwanza waliifanyia biashara wakagenerate extra income,kuna watu walinunua mashamba 20yrs ago may b ekar ikikua liaki moja,now it worthy 10-40M,kuna watu wake zao ni wafanyakazi wanaolipwa vizuri zaidi yao au ni wafanyabiashara wakubwa na biashara zao wameandika majina ya waume zao kuna watu........malizia wengine weweYaani kama wewe ni mfanyakazi halafu unakagari kako au bodaboda(walimu wengi walikopa kununua boda) au bajaji ulisajili kwa commercial halafu ukala kona hulipi kodi yake ya kila mwaka lazima upatikane.
Yaani hata kama lilipata ajali halipo road hukuwahi kwenda kuripoti TRA jiandae.A Auuliliuza kwa mtu naye hajabadili jina jiandae.
Kudadadeki halafu kama ulishakuwa na tin number kwa jina lako huwezi kupewa nyingine.
Kimbembe wakukute wewe tin number yako unalipa kodi kubwa kwa biashara zako nyingine kama lodge wakati mshahara wako mdogo unaweza kuitwa utoe maelezo umepata wapi.
Wakute pia ulilipa capital gain
kwa tin number yako hiyo kwa Mali let's say ardhi au nyumba uliyonunua kwa bei kubwa wakati mshahara wako unasoma kama alivyokuacha jk TGS D lazima utaonekana.
Sasa ni zamu ya wafanyakazi kuishi kama mashetani imewadia
wengi wanatapatapa wanataka kutengeneza tin number nyingine wanashindwa system inawaambia tayari wanayo.
Wafanyakazi jiandaeni kisaikolojia kwa negative repercussions yatakayojiri kuhusu hili jambo.
Kwa kweli.....Mitano alijipa mwenyewe, kibabe.
Mie pia niliandika barua TRA ya kufunga biashara. Nadhani na ushauri niliomba humu. Sikufuatilia majibu ila nachokumbuka nilipeleka barua.kwenye hili TRA wananiwinda... wamenipata sasa maskini... iko hivi....
Nilifungua biashara yangu miaka 10 nyuma ila nikaja kuifunga mwaka juzi baada ya hasara, sasa kule nadaiwa kodi pesa nyingi.. kosa langu wakati wa kufunga biasharar yangu sikuwaandikia barua.. sasa kodi inajizalisha hadi majuzi ndiyo nikashituka nikaandika kusitisha biashara ila kodi ni balaa - sasa nikimpa HR hiyo TIN si watanikamata kama kuku bandani? yaani nimejipeleka mwenyewe na wataanza kunikata kwenye mshahara ?
Kodi nayodaiwa hata kwa miaka 20 sitaweza kuilipa - nafikiria kuacha kazi lakini si kuitoa tena ile TIN number kwao.
Afadhali yani nimepata ahueni ya moyo kusikia yule choko kapigwa chini. Mpenda sifa sana analeta ubabe wa kizamani mbele ya camera πππAcha upimbi wewe, yule mwenzio aliyekimbilia panga kwa yule dereva na kudai faini ya laki 5 kashatimuliwa, sasa akalime matikiti huko na panga lake, bado wewe [emoji23] [emoji23]
Yeap! naye alitoa ultimatum kwa mtaala wa zamani kisa, kishatunga mtaala mpya wa waalimu.Umenikumbusha Ya Aaaave !
Mkuu Fafanua zaidi.Kinatafutwa uhujumu uchumi, kupitia uhujumu uchumi tunapata pesa nyingi Sana.
Kupitia uhujumu uchumi.Mtumishi ukikutwa na Mali nyingine kupitia TIN namba ni lzm itaifishwe sera za ujamaa mtumishi inatakiwa uwe masikini.Hata Kama umefanya ujasiliamali kihalali still Hadi waje wakuelewe sio keshoMkuu Fafanua zaidi.