Halafu ukija kuandaa hesabu zako za mwaka unafanyaje mkuu ili ubaki na faida kubwa??
Nikuibie siri ilivyokua inafanyika. Unalipa mishahara watumishi wako 50 tsh 300,000@ halafu kwenye mahesabu yako unaenda kuandaa kwa muhasibu/tax consultant unaandika umelipa watu 70 tsh 350,000@ kwa kuonesha labda daftari tu la mishahara na saini. Inapigwa hesabu mapato-matumizi(inflated) kinachobaki kinapigiwa hesabu Kofi
Sasa hivi itakua na TIN ya biashara na ya wafanyakazi 50 kwa mfano kilichoingia na kilichotoka tayari kinaonekana
Ila ofkoz njia nyingine za kukwepa zitapatikana tu(sitaziandika hapa) hahahaaa