Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saw a, mkuuHakuna cha kuogopa, ni utaratibu wa kuwatambua walipa kodi na historia zao.
Duuh, asante mkuuUtaratibu mzuri na mwenye faida na mchungu kwa mfanyakazi.... Tunakoenda watasema wanafunzi waanze kupatiwa TIN mapema....Tunakoenda pia. Wanachi Wote Utahitaji kuwa na TIN kupata huduma kadhaa.... Wanaforce kuongeza Wigo WA kodi
Umenikumbusha Ya Aaaave !Wananchi wakilalamika sana,huyu alietoa tangazo atafukuzwa kazi
Ila wananchi wakinyamazi basi haguswi...huyu mtawala wa upepo bwana...
Very crazy
Mimi wa kwanzaKila taasisi ina muhasibu/accountant ndo huwa anafanya hio kazi. Watu wengi hawajui hata payee anakatwa sh ngap[emoji28][emoji28]
Mkuu muulize boss wako.Mimi wa kwanza
Tanzania ni yetu sote😍😍Tutayajenga tu ili nije tuonane. Tule keki ya Taifa wote.
Ni vizuri kujizoesha kuwa na mawazo positive...SIO KILA KITU ni kuwazia negative
Ninavyo fahamu, huo ni utambulisho tu kuwa mfanyakazi ndiye mlipa kodi na sio taasisi/kampuni kwa kuwa wewe ndiye unakatwa mshahara wako.
Lakini pia, ikatokea kukawa na tax exemption mfanyakazi ataweza kunufaika kwani sasa ataweza kuthibitisha kuwa, yeye ni miongoni mwa walipa kodi wazuri. Kumbuka kuna wafanyakazi wanalipa kodi ya mshahara sawa au zaidi ya baadhi ya wamiliki wa maduka makubwa ila kwa sasa hawatambuliki, hivyo ikitokea tax exemption hawawezi kupata msamaha..
Mwisho; itasaidia serikali ukusanyaji wa mapato kwani wakiona mtu fulani hajatoa kodi ya mshahara, itabidi taasisi/shirika husika liulizwe ili litoe maelezo
Google hii subject ya ( wanaosamehewa Kodi ya paye Tanzania) utapata majibuIla punguza chumvi kidogo kuanzia lini wabunge na majaji hawalipi kodi kutokana na ajira zao
Mkuu binafsi nimekuelewa.Google hii subject ya ( wanaosamehewa Kodi ya paye Tanzania) utapata majibu
Ni suala la muda mrefu hata bungeni nakumbuka upendo pendeza alihoji hili suala akajibiwa kiuni na waziri mpango
Nikweli mkuu.Tanzania ni yetu sote😍😍
Kuna watu washapatikana hapa.Ila nafikiri huu utaratibu ni mzuri kwani utaongeza wigo wa makusanyo na kupunguza kiwango cha kodiKuna watu wanatafutwa hapo 😂
Mkuu kwakweli sijakuelewa.Kuna watu washapatikana hapa.Ila nafikiri huu utaratibu ni mzuri kwani utaongeza wigo wa makusanyo na kupunguza kiwango cha kodi
Ndo maana ya hekima inayotafutwa. Ukifokewa nawe ukafokea wengine, wewe ni bwege!Kama wao wamepewa Maagizo Kwa kufokewa na kisha wakapewa Ultimatum, unataka wakubembeleze kwani we nani?