BAVARIAN
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 222
- 168
Mm nadhan watu tusitake kuwaaminisha wengine kile unachokiona ww ,vitu vpo tofauti xana na kila mtu anajua anachokitafuta na usimlazmishe mtu kwa hoja dhaifu hivi nadhani kila mtu afanye kile anachotaka yy ,,hii menylity ya umaskin inatusumbua xana waafrika ,,unapotoa hoja hakikisha unalenga pande zote kiufupi ni mtazamo wako tu lkn pia ni mhemko tu huu unakusumbua ,,weka hoja kwani walioopo kwenye ajira wote wametajirika na ajira zao