Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

23ac5f6b6195fcb3cfa7c1634851a802.jpg
94f645b346215d20a7f63d886df80e4b.jpg


OK naweza kuwa chalii lakini kwasiku minimum naingiza $10 adi $20 weendelea kukariri kwamba unajua kilakitu nakati kuna chalii ana miaka 13 ana kampuni na umuumu kuna chalii kama mimi kiumri ana mafikio makubwa anahisa kwenye kampuni sichini ya nne hiki kipindi cha sayansi na teknolojia age does not matter na najivunia kuwa below 25 kwasabu nina malengo kabla kufika 25 kufika mbali
Naona haujataka kuelewa bwana mdogo......Ukimaliza shule urudi hapa na hizi porojo zako.
 
Kiukweli kujairiwa ni utumwa na muajiriwa ni mtumwa... Kama kuna MTU anapenda kuajiriwa huyo ni mtumwa...


Mimi ni muajiriwa nakiri kuwa mtumwa,
Hakuna aliyeajiriwa ambaye hayuko kwenye utumwa...bt what to be done ili kutoka kwenye huo utumwa nadhan ni kitu cha msingi sana kukiangalia kuliko mawazo ya mtoto ya below 25 yrs kuja kuponda ajira...wakat hata support ya ada anayopewa na aidha wazaz au walezi wake iko rooted kwenye ajira.
 
Somo la jana, kweli kabisa, pointi tupu, watu tunadanganyana sana, kila mtu ana nafasi yake duniani, anayekubeza na kazi yako ukimchunguza waweza kuta ni tapeli tu, au ndio kawaida yake kuwachanganya watu, piga kazi, ukishindwa au ukiacha iwe kwa maamuzi yako na siyo kwa kushawishiwa, kazi ni steady Income, mengine sijuwi Bitcoin/Forex ni aina ya Gambling, mwenye akili na busara twajuwa ataamuwa lipi, huwezi kuendesha maisha ya familia yako kwa kubahatisha hata siku moja..
[HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
 
Namkumbuka marehemu Seth (Bikra wa kisukuma) apumzike kwa amani.....
Alikua anapinga sana kuajiriwa, anatoa shule bila ada namna ya kujiajiri, ila hadi anafariki alikua kaajiriwa Efm radio
Mganga hajigangi[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Isitoshe huyu padiri mcharuko labda hana hata ajira na inawezekana ndo wale wagawana 7000 wa Lumumba lkn wakija huku ni fix na umwinyi wa kutosha.
 
Cha msingi ni kufuata moyo wako,mambo ya kufuata mkumbo utaumia awamu hii ya 5.....Kuna watu wapo kuchuza wenzao kumbe yeye kashapata shavu anawachuzeni nyinyi tu kwenye migomo.
We ng'ombe wa maziwa umeacha kufuga?au lilikuwa biti tu?haaàa
 
Yule mfanyakazi wa supermarket ya kule Canada nae atakuwa amekuelewa. Hawezi kuacha kazi yake kwa kushawishiwa ghafla [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Whitehorse ulichokula jana aseee naomba ukiweke kwenye dayati yako ya kila siku...kina manufaa sana
 
Halafu wanadhani hii forex ndio imeanza jana...vijana bwana
 
Unadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia napo nataka kuwatema), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
Kwa wanaoifahamu saikolojia ya mwanadamu wanajua kuwa pale mlengwa anapotumia jitihada nyingi kujitetea kuna uwalakini katika kile alichojinadi nacho. Pengine ukute si mkweli, na ndio maana nafsi inamsuta ana amua kujitetea hadi mishipa inamtoka.
 
Simple. Kwa sababu ni haki yangu.
Mwana FA anakwambia "Hata kama nina laki mfukoni, bado nitaokota shilingi mia barabarani"
Kubali tu yaishe bana. Kwani hii ni mara ya kwanza kubananishwa kwa kuongea sound bulaza.
 
Walimu mna vichwa vigumu kama ngozi ya paka.
Naposema ajira namaanisha chanzo cha mapato.
Nina vyanzo vya mapato vizivopungua vinne mpaka sasa.
Nataka nitemane na viwili nibaki na business zangu mbili tu.
Si unaona kama hapa upo busy kusema sijui una biashara tatu. Biashara zipi hizo blaza.....maana mtu mwenye biashara za kueleweka zaidi ya moja huwezi mkuta anamuda wa kukimbizana na maagizo ya taasisi ya kuajiriwa nayo. Yaani unaingiza pesa nyingi kwenye biashara halafu utumie muda wako kukaa sehemu moja unafanya kazi ya masaa ya kutwa nzima?! Mbona hii haimake sense hata kidogo.
 
Ana vyanzo vinne vya biashara afu tar.21 anaanza kutusumbua tumwangalizie salio watu wengine bhana.....
Si ndio hapo maana kwa biashara ukisha kuwa nazo hata mbili tu zinakwenda fresh huwezi kuwa na muda wa kupambana na ajira za kusubiri mwisho wa mwezi na katikati ya mwezi unatumia gharama kibao!
 
Si ndio hapo maana kwa biashara ukisha kuwa nazo hata mbili tu zinakwenda fresh huwezi kuwa na muda wa kupambana na ajira za kusubiri mwisho wa mwezi na katikati ya mwezi unatumia gharama kibao!
Sio tu kupambana na ajira ha ha ha
Alisema thanks god account yangu imesoma weekend itaanza sasa, yani ni jinsi gani alivokua anangoja mshahara jamaa fix huyu!!!
 
Habari wanajukwaa!

....
Pia napenda kusema kuwa mafanikio ni pale moyo wa mtu unaporidhika na vile alivyo na si kumiliki magorofa au kampuni. Mwingine hata kuwa mpika chai wa waziri kwake ni mafanikio hivyo acha kumbughudhi ili ajione mnyonge aache kazi.

😀 Hapo imebidi nicheke. Yap, you have said it perfectly well. Falsafa yangu siku zote ni kuwa "maisha ni mtazamo" na mtazamo wa mtu (au hisia zake) - ambao ni wa kipekee kwa kila binadamu - ndio unaoainisha mafanikio, mkwamo hata kuanguka kwake. Wengi huishia kushangaa sana wanapogundua kuwa adui zao hasa au hofu zao kuu ZIMO NDANI YAO na si nje na kwamba MWISHO WA YOTE kufaidi au kutofaidi maisha ni jinsi hisia zako zilivyokuongoza.
 
Sasa wote tutaacha kazi tuje forex???
Wengine wakafuge, wengine muende forex, wengine wakalime, wengine tubaki kuhudumia umma....
Si kweli kabisa hawa wa forex .... Wanapata hela kwa training.. Lakini hawafanyi trading wao wenyewe.. Mtu anayefanya trading halisia kwa a/c yake , hawezi kusema hivyo.. Ni biashara ya up and down, sasa yeye anajihakikishia vipi kuwa mwezi ujao mambo yatakuwa mazuri..Sound tu za forex..
 
Back
Top Bottom