Mfanyakazi wa ndani akamatwa akituhumiwa kumuua mama, wanaye wawili

Inasekanaa kijna yule alizingua baada ya maama kumnyima pesa kwani mume alipo fariki kijana yule alijimilikisha mkee wake na mam yule kukubali kutinduliwa na kijana yule tokea hapo ..... Sasa Nina wasiwasi labda kijijini ndio kausika na kifo cha mume
 
Inasekanaa kijna yule alizingua baada ya maama kumnyima pesa kwani mume alipo fariki kijana yule alijimilikisha mkee wake na mam yule kukubali kutinduliwa na kijana yule tokea Apo ..... Sasa Nina waswas lbda kijn ndio kausika na kifo Cha mume
Andika vizuri basi mbona vijana mmekuwa wa ajabu siku hizi? Na ukute ni mwanaume kabisa🤷
 
Hawa watu wanaofanya mauaji ya hivi hua Wana hali flani ya kutokua na hisia ya huruma na watu wengine nadhani.napenda Sana kuangalia chanel ya ID. Mule kuna ya kujifunza mengi Sana kuhusu hawa pschophants.
No,ngapi DSTV Mkuu?
 
Huu ukatili sijui utaisha lini, si kwa mahousegirl/houseboy na wamama wa nyumbani



🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇹🇿🔥🔥
No dhana yako kuna watu wengi wanaishi vizuri tu na hao watu , mpaka watoto wanalia wakiwa hao benki tatu anaondoka au anafukuzwa kwa kudokoa
 
Inahuzunisha na kuogopesha pia.

Nionavyo Mahakama itende haki, tena watu kama hao mashauri yao hayapaswi kucheleweshwa ili mbivu na mbichi zijulikane, na kama kipo cha kujifunza na wengine wajifunze ili kupunguza haya mambo.
 
Si kweli. usimshuhudie uongo jirani yako. Lakini ndugu unapata faida gani kumnenea uongo Marehemu? Kisa likes za JF?

Hausi boy hakua na uhusiano na marehemu, mjane alikua na boyfriend wake mtu mzima tu. Mume alifariki akiwa SA
Inasekanaa kijna yule alizingua baada ya maama kumnyima pesa kwani mume alipo fariki kijana yule alijimilikisha mkee wake na mam yule kukubali kutinduliwa na kijana yule tokea Apo ..... Sasa Nina waswas lbda kijn ndio kausika na kifo Cha mume
 
Huwezi nyonga nyonga tu bila utaratibu. Ukishanyonga umenyonga, dunia ina mambo mengi sana, kuna matukio yameshawahi kutokea huko nyuma ya watu kunyongwa bila hatia. Unapewa kesi unanyongwa halafu baadae inajulikana hukua na hatia.
 
Mh kumbe gerezsni nako Kuna kula Bata!
 
Ya kunyonga watu?!
 
Daa!! Kumbe wana enjoy tu
 
Itakuwa hata ukigombana na mtu bar tu au ukimzidi kete kwenye ushindani wa kupata mbuchuchu, unabandikwa kesi ya mauaji inagongwa sahihi chap unakula umeme fastafasta, hadi haki ije ijulikane ilikuwa kwako utakuwa umebaki mifupa ardhini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…