Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Nilikuwa wa kwanza kushtuka kusikia fedha walizolipwa wafanyakazi wa MSD, lakini Baada ya kufanya utafiti nimebaini Kila mfanyakazi wa Serikali akisafiri nje ulipwa zaidi ya dola 350. Kabla ya kulalamikia MSD ni vyema tukafahamu sheria inayotumika kufanya malipo.
Kwa viongozi wakuu wa Nchi inaweza ikawa wanalipwa mara tatu zaidi ya kiwango nilichotaja. Hii kibongo bongo inaweza kuwa fedha nyingi lakini huko nje ambapo hotel Kwa siku ni zaidi ya dola 100 Bado ni fedha ndogo.
Lakini Kwa Mtanzania anayefanya kazi shirika la Kimataifa akiwa nje ya Nchi husika analipwa about 1000 USD sawa na zaidi ya milioni mbili na laki mbili Kwa siku Moja.
Kwa wale tuliosafiri nje tukiongeza na maujuzi ya kusoma soma taratibu za serikali tunaweza kubalance discussion kama hizi zinazoendelea ambazo unabaini magazeti yote na vyombo vya habari hakuna kilichoweza kufanya utafiti au kuhoji ulipaji serikalini upoje?
Mimi Naamini serikalini watu wanaiba kupitia sheria zilizopo zinazotamka Haki. Kama hakuna sheria inayotoa limit ya jambo fulani ni vigumu kulifanya Liwe kosa Hadi pale litakapofanywa kosa.
Kwa viongozi wakuu wa Nchi inaweza ikawa wanalipwa mara tatu zaidi ya kiwango nilichotaja. Hii kibongo bongo inaweza kuwa fedha nyingi lakini huko nje ambapo hotel Kwa siku ni zaidi ya dola 100 Bado ni fedha ndogo.
Lakini Kwa Mtanzania anayefanya kazi shirika la Kimataifa akiwa nje ya Nchi husika analipwa about 1000 USD sawa na zaidi ya milioni mbili na laki mbili Kwa siku Moja.
Kwa wale tuliosafiri nje tukiongeza na maujuzi ya kusoma soma taratibu za serikali tunaweza kubalance discussion kama hizi zinazoendelea ambazo unabaini magazeti yote na vyombo vya habari hakuna kilichoweza kufanya utafiti au kuhoji ulipaji serikalini upoje?
Mimi Naamini serikalini watu wanaiba kupitia sheria zilizopo zinazotamka Haki. Kama hakuna sheria inayotoa limit ya jambo fulani ni vigumu kulifanya Liwe kosa Hadi pale litakapofanywa kosa.