Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kwa upigaji imezidi, ila bora aliekuwa mpigaji na analeta maendeleo japo kidogo, sure magu afadhali alikuwa na ka uzalendo na taifa lakeYeye mwenyewe alikuwa mpigaji tu, yalikutwa mamia yamabilioni nyumbani kwake Chato baada kutangulia kuzimu
Utalipa indirect mkuu....labda usifanye matumizi ndani ya nchi.....Then Raisi analilia kwamba tulipe Kodi, binafisi sitakaa nilipe kodi nitakwepa hadi mwisho wa hii Dunia
Tukishapigwa virugu muanze kutucheka tena na manundu yetu..Dawa ni ku riot tu hamna namna hawa jamaa wamezidi yani inafikia mahala wengine tunakua kama sio watumishi wa umma vijana wetu andamaneni mtuokoe na huu usenge hali ni mbaya mnooooo
Hapana ameweka mabunda ya million moja moja 7000Wana masihara hao waandishi, yaani unamaanisha ameweka nyumbani MILIONI ELFU SABA
7,000,0000,000/-
Yaani noti za elfu kumi MILIONI SABA
Visa tunapataje tuwahi hukowaziri mwenyewe ana kwambia nenda burundi
Ufisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi.Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Huyo hafanywi chochoteHii ni bajeti ya Tarura mkoa mzima ,kwa zile barabara za changarawe😡😡 huyu ndio mhujumu uchumi sasa, sio zile kesi nyingine zilikuwa za kukomoana kipindi kile🤣🤣 tungetegemea huyu awe kisutu au korti ya mafisadi.
YesUfisadi hauwezi kukomeshwa na rais fisadi.
Hawa wanataka wapihe kotekoteMsisahau Kibopa mmoja wa TRA kule Kibondo ana msala wa kukutwa na meno ya Tembo. Manina zao TRA!
Ulidhani mbususu yako itamshtua 🤣🤣🤣 pole bibie mtapangwa kama ndizi kwenye kichane 😜😅TRA kuna pesa bhana, kunae mkaka wa mtaani kwetu, alimaliza UDBS 2017, mwaka juzi 2021 akapata kazi TRA huko Singida, jamaniiiiii.
Nyumba imejengwa week 3 kila kitu had fence. Sahivi ana ndinga Prado Tx, maisha kwake oyaah oyaah!! Bas vijana wa rika lake wananvyonangwaa mtaani mwenzao kashatoboaa.
Ila ndo malayaa mbwaa, mxxxxiiiiiieeeew.
Mtu km huyu ana ulinzi wa kutisha na maana sana, hawezi kaa na pesa zote hizo, LolBilioni 7 ni milioni 7000.....tuseme ni noti za elf 10 na kazifunga ktk bunda za milioni 10, Kwa hyo 7000 gawa kwa 10 ni sawa na bunda 700....duh...ni stoo yote imejaa noti
😀🤣🤣au mfagiaji yule!