Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.

Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.

Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.

Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
MAmbo ya ajabu sana tra na raisi yupo anaangalia tu
 
Hawa tunawachekea sana na wanafanya hayo yote, wakijua hakuna wa kufanya lolote. Tutalalamika kwenye mitandao, miaka inaenda na hakuna kinachobadilika.

Watanzania kupanga ni kuchagua, mlipe kodi kuwafanya kundi fulani wawe mabilionea. Au kuchukua hatua cake ya taifa iliwe na wote. Uamuzi uko mikononi mwenu.
Watz hawa hawa ambao uhuru wenyewe walipewa tuu na sio kuupigania🤣🤣🤣🤣
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Title ya uzi iko clear lakn maelezo yake ni malalamiko tu sijaweza kuelewa story yake ikoje na wala hizo pesa zilitaifishwa au
 
Civil services na usalama wa taifa sio shughuli za mzaha.

Kodi sio swala la mzaha

Na uongozi wa juu sio swala la mzaha, ndio maana unaona Liberal Democrat’s huko US wameanza kujitokeza Biden aachie nafasi kwa mwengine kabla awajakutana kwenye mkutano wa August kumpitisha mgombea wa Liberal.

Tofauti yetu na hawa mabeberu, senior civil servants imejaa (philosopher kings, in Plato’s perspective) they can gamble with someone like Biden, if he wins being a w weak president it allows them to run the country with less political intervention.

Similar to our situation. Isipokuwa civil services yetu aina meritocracy’ (wazalendo ni wachach) wengi wamefikia hizo nafasi bila ya kupikwa kwa ulinnzi wa nchi. Wanachofikiria ni maslahi yao I have met a couple.

Samia hana tofauti na Biden, ila anatakiwa kwa maslahi ya watu tu sio kwa sababu ya maslahi ya taifa bali yao.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili na wazalendo. Ndio maana unaitwa ‘intelligence’.

Hakuna shughuli hapo.
 
TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.

Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.

Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina Kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.

Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Unadhani ni rahisi kumchunguza mtu mwenye hela?
Bila kuwa na Rais strong,haya mambo hutaacha kuyasikia
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Kaka mm nilijuwa utaleta gazeti zima nilisome huku simiyu
 
Mambo mengine ni kujitafutia laana tu. Unapoiba Bilioni saba unakaa nazo kwako sijui unanunua Vogue(Gari ambayo kwa wastani wa mishahara yetu itachukua miezi 300 kununua)

Sijui ujenge majumba ya kifahari wakati kuna masikini ambao biashara zao zinanyanyaswa ni kujitafutia laana tu. Unakuta gari mpya SUV ya maana namba EH Series imepiga mzinga na kuondoka na roho za watu kumbe ni malaana yenyewe haya.
Watu wanaangalia pafupi sana mkuualfu mwisho W siku h a o ndio watoa mchango mkubwa kubwa
 
Mi nasema hivi...kama CCMM na watu wake wasipo badilishwa kama mfumo wa kupokezana madaraka hakika nasema maendeleo bongo kamwe hayatoweza kutokea.

Sasa kama maafisa wa kubwa wa serikali ambao Watanzania wenzetu kama Watanzania wengine wana treatiwa kama wazungu na full acommodation zilizo shiba kwa kodi zetu.Unadhan ni Watanzania wangapi wanakosa huduma za msingi kwa sababu za gharama kwa ajili ya kuhudumia Afisa mmoja wa serikali.

Any way acha tunuruzwee mpaka vizazi na vizazi...
 
Nchi hii ogopa wafanyakazi wa TRA na BANDARI hao watu wana utajiri wa kutisha tena mpaka vijana wadogo.
Kitu gani cha kushangaza wewe ukimsikiliza yule ‘Eric Hamisi’ akiongea hoja za biashara anafikia hata robo ya ‘Kakoko’ hiyo sio bahati mbaya.

Wanawaweka watu wasio na uwezo kwenye hizo nafasi wapige deal zao, worst wanaingia mikataba mizuri (yenye bad terms) bila ya kujali ilimradi washalipwa.

Personal nitatetea proposal ya DPW mpaka kesho ya uboreshaji wa shughuli za bandari mpaka kesho on the infrastructure investment plans, lakini kuwapa mkataba wa miaka 30 ya kuvuna huo ni ujinga uliopitiliza.

Same thing shida ya mchezo wa kodi za VAT bandarini ni mdogo sana, what happens bidhaa za wafanyabiashara wanao nunua China. Huko wanaponunua wanalipa VAT.

Kwa sababu wanasafirisha wanatakiwa warudishiwe VAT China. Wanunuzi wenyewe wengi wanaonunua awaendi China wanatumia watu kama GSM ambao hiyo VAT ya export wanachukua wao.

Mzigo ukifika bongo unapigwa VAT nyingine, GSM wana mbinu za kuutoa mzigo on bulk procurement, mfanyabiashara hana VAT return ya China. Wala hana VAT output ya bandari. Wanajikuta wana gharama kubwa za kuuza.

Kupatw faida kwao wafanyabiashara ni bora kujaribu kukwepa kodi tu, kuuza bila ya kutoa receipt.

Na wengi hawana bookkeeping Ndio shida ilipo, wala uelewa wa traceability ya VAT kutoka China.

Haya mambo yanawezakana chini ya serikali ya hovyo.

As usual kwa jamii yetu, huyu waziri poyoyo anajiropokea; ila kwa rungu langu kodi ingelipwa tu na kariakoo kama registered VAT business ni 40,000 chini ya makusanyo tsh 120 billion maana yake sijafanya kazi yangu kamishna wa TRA.

Hakuna mzungu anaetuhujumu kwa upuuzi wetu wa kufanya mambo.

Ifike wakati tukubali 80% ya matatizo yetu ni kutokana na uwezo wetu wa kufanya mambo.
 
Mambo mengine ni kujitafutia laana tu. Unapoiba Bilioni saba unakaa nazo kwako sijui unanunua Vogue(Gari ambayo kwa wastani wa mishahara yetu itachukua miezi 300 kununua)

Sijui ujenge majumba ya kifahari wakati kuna masikini ambao biashara zao zinanyanyaswa ni kujitafutia laana tu. Unakuta gari mpya SUV ya maana namba EH Series imepiga mzinga na kuondoka na roho za watu kumbe ni malaana yenyewe haya.
Kama laana ni kuwa na ma suv au mavogue ata mm naitaka hiyo laana.
 
Kitu gani cha kushangaza wewe ukimsikiliza yule ‘Eric Hamisi’ akiongea hoja za biashara anafikia hata robo ya ‘Kakoko’ hiyo sio bahati mbaya.

Wanawaweka watu wasio na uwezo kwenye hizo nafasi wapige deal zao, worst wanaingia mikataba mizuri (yenye bad terms) bila ya kujali ilimradi washalipwa.

Personal nitatetea proposal ya DPW mpaka kesho ya uboreshaji wa shughuli za bandari mpaka kesho on the infrastructure investment plans, lakini kuwapa mkataba wa miaka 30 ni kwa uwekezaji huo huo nitakao utetea ni ujinga uliopitiliza.

Same thing shida ya mchezo wa kodi za VAT bandarini ni mdogo sana, what happens bidhaa za wafanyabiashara wanao nunua China. Huko wanaponunua wanalipa VAT.

Kwa sababu wanasafirisha wanatakiwa warudishiwe VAT China. Wanunuzi wenyewe wengi wanaonunua awaendi China wanatumia watu kama GSM ambao hiyo VAT ya export wanachukua wao.

Mzigo ukifika bongo unapigwa VAT nyingine, GSM wana mbinu za kuutoa mzigo on bulk procurement, mfanyabiashara hana VAT return ya China. Wala hana VAT output ya bandari. Wanajikuta kwa gharama zao ili kuuza ni bora kujaribu kukwepa kodi tu, kuuza bila ya kutoa receipt.

Na wengi hawana bookkeeping Ndio shida ilipo.

Haya mambo yanawezakana chini ya serikali ya hovyo.

As usual kwa jamii yetu, huyu poyoyo anajiropokea; ila kwa rungu langu kodi ingelipwa tu na kariakoo kama registered VAT business ni 40,000 chini ya makusanyo tsh 120 billion sijafanya kazi yangu.

Hakuna mzungu anaetuhujumu kwa upuuzi wetu wa kufanya mambo.

Ifike wakati tukubali 80% ya matatizo yetu ni kutokana na uwezo wetu wa kufanya mambo.
Hasa watumishi wa umma isee!
 
Back
Top Bottom