ROOM 47
JF-Expert Member
- May 23, 2022
- 2,301
- 7,460
Una wenge LA 7b tulia mkuu maisha hayana formularNimefundisha miaka 40 lakini bado unasema luksaa. Au na mimi niende Burundi kufundusha kiswahili nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una wenge LA 7b tulia mkuu maisha hayana formularNimefundisha miaka 40 lakini bado unasema luksaa. Au na mimi niende Burundi kufundusha kiswahili nini?
Utakatishaji wa wazi kabisa.Usajili wanaofanya Singida big star, mwigulu si unamuona.
Chura kiziwi alishasemaga kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake....Ila TRA siku nikiingia huko Aloo aloo lazima nimuhamishe mtu pale Masaki.
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Eheee. UMESEMA! Sawa hayana, yana nini mbadala?Una wenge LA 7b tulia mkuu maisha hayana formular
Ni lazima awaogope, kwani wao ndio maboss wake, raia wengine ni mateka wao, ambao rais huyo huyo anawadharau na kuwapuuza hadi kuwaambia hadharani ameamua kuwa 'Chura Kiziwi' ili asisikie kelele toka kwao. Rais anafanya hivyo akijuwa hawa raia hawawezi kumfanya chochote; kwa sababu ngao yake ni hao wenye kamba ndefu.Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
waziri mwenyewe ana kwambia nenda burundi
Kesho njooo tra hapa uchukue TIN nmbaEheee. UMESEMA! Sawa hayana, yana nini mbadala?
Ni upambavu wa hali ya Juu sana, Mimi ninaviji biashara zangu kama nne, sijawahi kulipa Kodi, siwezi kuwalipia kodi watu wahuni. Hii Nchi ya Ajabu sana.Yaani mimi mtoto wangu ashindie mlenda huku analipa kodi haya majangili yanazipiga? sifanyi huo upumbavu nikipata chance nitaiba haswa, n ujinga mimi
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Yangu niliipata kabla hujazaliwaKesho njooo tra hapa uchukue TIN nmba
Na mkuu anasema "siwajibu"waziri mwenyewe ana kwambia nenda burundi
Wanatudharau sana ndio maana wanaiba hivyo !Kama hazina kazi ya kufanya si bora waibe waje wafungue mabar na mahotel vijana wenu wapate kazi za bahamed mkuu
Halafu wanamdanganya Raisi naye anadanganyika kwamba wafanyabiashara wanakwepa kodi, sasa huyo ni mmoja tu B7, ke hao wengine? Mungu yupo iko siku haya yatakwisha....
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
ccm na viongozi wake ni vipofu na janga la taifa
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
ogopa ni hatari kuna hawa askari wa fire kufuatilia fire-extinquishers maeneo ya biashara kazi kuwakamua watu elf20-50 kulingana na biashara yako kama hauna mtungi wa fire na wenyewe wanajipangia kila mwaka lazma wapite kila mlango kusanya hizo hela na kuzitia kwenye mifuko yaoTAKUKURU imejaaa wahuni ile, yaani wale mpaka uwaambie sasa kamata huyu, ogopa taasisi unaongozwa na askari Police