Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona sasa 😳Binafsi nilishasema, nitalipa zile kodi za lazima, yaani ninayokatwa direct toka juu, ila nitakwepa kodi kwa namna yoyote ile, siwezi kutajirisha wachache.
siyo kidogo inatakiwa iwe full blast!!Hebu tujaribu mfumo wa China kidooooogo tu, kuhusu mafisadi tuone itakuwaje.
Hiyo hajasema, kwa kweli hakusuma, luksaa?? hizo ni ndoto zako, labda Rukhsaa!Babu zenu walikuwa wapi kipind mwinyi anasema luksaaa.......
Tuliza wenge we endelea kufndishaaa tichaaa sawaHiyo hajasema, kwa kweli hakusuma, luksaa?? hizo ni ndoto zako, labda Rukhsaa!
Jamaa mmoja alisema watakuwa wananyongwa wale ambao hawakuhusika kabisa !siyo kidogo inatakiwa iwe full blast!!
Mkuu ina maana wewe huwa unaona kabila moja tuu? Mengine hujihusishi? Tunapojadili mambo ya Kitaifa tuache kuingiza au kuchanganya na ukabila au udini, hicho kinakuwa kama kichaka cha kujificha wewe unayefanya halafu unataja watu wengine.TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.
Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.
Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.
Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Wawe wote tra lakini wasiibe kodi zetu !Baba tra, mama tra, mjomba tra, bibi tra, babu tra alafu mnatakaa mtoto akawe fundi bomba.........
Kama hazina kazi ya kufanya si bora waibe waje wafungue mabar na mahotel vijana wenu wapate kazi za bahamed mkuuWawe wote tra lakini wasiibe kodi zetu !
Nimefundisha miaka 40 lakini bado unasema luksaa. Au na mimi niende Burundi kufundusha kiswahili nini?Tuliza wenge we endelea kufndishaaa tichaaa sawa