Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
tatizo lilianza pale ufisadi ulipokuwa normalizedTatizo kila anayewekwa anawaza kuchumia tumboni tu wazalendo wa kweli wamepungua sana kwenye hili taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo lilianza pale ufisadi ulipokuwa normalizedTatizo kila anayewekwa anawaza kuchumia tumboni tu wazalendo wa kweli wamepungua sana kwenye hili taifa
Chadema watakushukia kama mweweTRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.
Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.
Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.
Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Nimewaza tu Magu angekuwepo angefanyajeHawa tunawachekea sana na wanafanya hayo yote, wakijua hakuna wa kufanya lolote. Tutalalamika kwenye mitandao, miaka inaenda na hakuna kinachobadilika.
Watanzania kupanga ni kuchagua, mlipe kodi kuwafanya kundi fulani wawe mabilionea. Au kuchukua hatua cake ya taifa iliwe na wote. Uamuzi uko mikononi mwenu.
Pamoja na mambo mengine ukwasi walio nao wafanyakazi.Kinachunguza nini hicho kitengo?
TRA kuna pesa bhana, kunae mkaka wa mtaani kwetu, alimaliza UDBS 2017, mwaka juzi 2021 akapata kazi TRA huko Singida, jamaniiiiii.TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.
Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.
Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.
Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Watakuwepo wengi wa aina hii.Halafu wanamdanganya Raisi naye anadanganyika kwamba wafanyabiashara wanakwepa kodi, sasa huyo ni mmoja tu B7, ke hao wengine? Mungu yupo iko siku haya yatakwisha....
................. Mwishoni mwa utawala wa Mwinyitatizo lilianza pale ufisadi ulipokuwa normalized
Nyumba week 3 duh....mkuu mhurumie ulihesabu vibayaTRA kuna pesa bhana, kunae mkaka wa mtaani kwetu, alimaliza UDBS 2017, mwaka juzi 2021 akapata kazi TRA huko Singida, jamaniiiiii.
Nyumba imejengwa week 3 kila kitu had fence. Sahivi ana ndinga Prado Tx, maisha kwake oyaah oyaah!! Bas vijana wa rika lake wananvyonangwaa mtaani mwenzao kashatoboaa.
Ila ndo malayaa mbwaa, mxxxxiiiiiieeeew.
Wala sitanii na siongei uongo, msingi unachimbwa gari za kokoto na mchanga zinaletwa, tofari trip zinashushwa, ile nyumba mwezi haijatimia, kila kitu had fences.Nyumba week 3 duh....mkuu mhurumie ulihesabu vibaya