Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Nataka wajuzi watuambie ni hatua gani zilifuata? Je zikichukuliwa kurudishwa Hazina? Aundio maana kakamatwa maana yke ni serikali haijalala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka wajuzi watuambie ni hatua gani zilifuata? Je zikichukuliwa kurudishwa Hazina? Aundio maana kakamatwa maana yke ni serikali haijalala
Tatizo kila anayewekwa anawaza kuchumia tumboni tu wazalendo wa kweli wamepungua sana kwenye hili taifaHakuna kusikitika tumeyataka wenyewe kuachia nchi majangili acha yaibe sisi tubaki kusindikiza na kushinda kwenye makanisa ya kitapeli tukiibiwa
Alafu utasikia- lipeni kodi! Jamani Watanzania lipeni kodi kwa maendeleo ya nchi yetu, haya wanaotuhimiza ndo hao wanaokutwa na mapesa yote hayo ndaniNi headline ya gazeti la Raia Mwema. Je ni nani huyu mfanyakazi? Hatua gani zimechukuliwa dhidi yake? Je wangapi wana ukwasi huo?
View attachment 3038595
Nchi ya kijinga mkuu wewe iba achana na maswala ya ZimbabweSoon nchi inageuka kuwa kama Zimbabwe ya enzi ya Mugabe unaenda kununua mkate,Shilling haina thamani, dollar haionekani na watu wamejaza viporo vya pesa majumbn mwao.
Sema hakyanani au basi!chura yeye ndiyo anapagua kupitia kwa Abdul
Kama mtu amepata nafasi kwa kuhonga unategemea anarudishaje? nchi ya kijinga sn hii wewe iba kwa nafasi yako maswala sijui ya uzalendo achana nayo kabisa vinginevyo utakuwa ni mjinga sn wenzako wanatajirika wewe unawaza uzalendoTatizo kila anayewekwa anawaza kuchumia tumboni tu wazalendo wa kweli wamepungua sana kwenye hili taifa
Kwa hiyo kama anaiba tumuache kisa rafiki ako? acha mambo ya kijinga mkuuSema hakyanani au basi!
Abdul ni my best friend nisimseme vibaya!
Si aache kazi afanye hivyo biashara ya madiniKama anafanya biashara zingine mfano madini hizo ni pesa ndogo sana
Kinachunguza nini hicho kitengo?TRA pamoja na kuwa na kutengo cha internal investigation bado tu wanapiga kwa kwenda mbele.
Hapo hakuna mfanyakazi maskini labda utake mwenyewe.
Kila mtu kwenye idara yake ni kututandika tu.
Ndiyo hawa wanakuja kununua kura wakaendelee kuiba unakuta ana zaidi ya 300B zipo kwenye shida la chooMfanyakazi tu ana hizo vipi boss yake kaficha ngapi
Kama tunahitaji mabadiliko. Basi mabadiliko ya kweli yanaanza kwa mimi na wewe tuanze kuwafundisha watoto wetu kuanzia ngazi ya familia namna ya kulinda rasilimali. Muda bado upo tusikate tamaaKama mtu amepata nafasi kwa kuhonga unategemea anarudishaje? nchi ya kijinga sn hii wewe iba kwa nafasi yako maswala sijui ya uzalendo achana nayo kabisa vinginevyo utakuwa ni mjinga sn wenzako wanatajirika wewe unawaza uzalendo
Anayesema tulipe kodi yeye mshahara wake unakatwa kodi? acha ujinga kwepa kodi na ukipata sehemu ya kuiba iba haswaAlafu utasikia- lipeni kodi! Jamani Watanzania lipeni kodi kwa maendeleo ya nchi yetu, haya wanaotuhimiza ndo hao wanaokutwa na mapesa yote hayo ndani
Sisi tulipe Kodi tuNdiyo hawa wanakuja kununua kura wakaendelee kuiba unakuta ana zaidi ya 300B zipo kwenye shida la choo
Ndio akaonyeshe zinapotokea hadi kumfikia ni sawa sawa na kulawiti mwanachuoKama anafanya biashara zingine mfano madini hizo ni pesa ndogo sana
Wewe nitakung'ata sasa hivi mwache rafiki yangu Abdul ale hela za ngumbaru kama nyieKwa hiyo kama anaiba tumuache kisa rafiki ako? acha mambo ya kijinga mkuu