Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh !Wana masihara hao waandishi, yaani unamaanisha ameweka nyumbani MILIONI ELFU SABA
7,000,0000,0000
Yaani noti za elfu kumi MILIONI SABA
Nchi inaibiwa kupita kiasi na haya majangiliNi headline ya gazeti la Raia Mwema. Je ni nani huyu mfanyakazi? Hatua gani zimechukuliwa dhidi yake? Je wangapi wana ukwasi huo?
View attachment 3038595
Mtu anaingia kazini ndani ya miaka 5 ni tajiri haswaKwa sheria hizi kandamizi za kodi Tra lazima wawe na hela za kutosha,
Sahivi watu wanaiba kupita kiasiHakuna Cha ajabu hapo hasa awamu hii hayo mambo ni ya kawaida tu hata ukimpekua Abdul unaweza Kuta ana trillion 2 nyumbn kwake.
Mawaziri ni zaidi ya hapo mkuuWana masihara hao waandishi, yaani unamaanisha ameweka nyumbani MILIONI ELFU SABA
7,000,0000,0000
Yaani noti za elfu kumi MILIONI SABA
Yawezekakana.Nchi inaibiwa kupita kiasi na haya majangili
Nchi inabigwa haswa bila aibuWamekula kulingana na urefu wa kamba yao.
Wametii agizo la bosi wao aliyepo jimba jeupe.
Kwa ajili ya sheria mbovu zinazotungwa na bunge,Mtu anaingia kazini ndani ya miaka 5 ni tajiri haswa
Ndiyo hawa wakiiba wanaanza kuimba mama anaupiga mwingiWanalamba asali.
KachoomwaaaahuyuNi headline ya gazeti la Raia Mwema. Je ni nani huyu mfanyakazi? Hatua gani zimechukuliwa dhidi yake? Je wangapi wana ukwasi huo?
View attachment 3038595
Sheria zinatungwa na majangili unategemea nini? ukipata nafasi mkuu wewe iba haswa tafuta mawakili wasomi hata 6 walipe nzuri na uwekaribu na majaji watatuKwa ajili ya sheria mbovu zinazotungwa na bunge,