MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kuna jamaa yangu alikuwa task force.... Jamaa ni tajiri aisee, ukwasi sio wa kawaida. Pata picha mtu ambaye anadeni la kodi la 1bil likikatwa mpaka 200mil atakuwa tayari kulipa kiasi gani 😞😞😞