Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Hivi ile report ya CAG iliwahi kufanyiwa kazi, iliwahi kujadiliwa bungeni, iliwahi kutolewa maelezo wananchi wakajua hatma ya kodi zao?

ChoiceVariable bado nakuonyesha tu kuwa we have a very weak administration, very disorganised regime and a very weak presdar..take it or leave it.
Wewe nyumbu,uwe unafuatilia mambo ya serikali badala ya kujikita kwenye umbea na upumbavu mnaoloshana huko ufipa.
Screenshot_20240601-083037.jpg
 
waziri mwenyewe ana kwambia nenda burundi

Na Rais karuhusu wayeule wake wale pesa ambayo wanaweza kuifikia kutokana na nafasi zao (urefu wa kamva zao).

Kwa Tanzania, kulipa kodi ni sawa na kuibiwa kwa hiari wakati kwa nchi nyingine, kulipa kodi ni kuchangia maendeleo yako, jamii yako na Taifa lako.

Waowanasisitiza tulipe kodi ili wapate pesa ya kuchezea na kufanyia anasa.
 
TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.

Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.

Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.

Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Kumbe wezi wa TRA ni wachagga?😮
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Wazir mwenyewe ana timu ya Mpira. Na anatumia takribani 100m to the minimum kila mwezi kuendesha timu. Je, anapata wapi pesa zote hizo?
 
TRA kuna maajabu sana yaani vijana wa 2000 wamemaliza vyuo sababu ni wachaga wamepata kazi TRA wana ukwasi na magorofa ya hatari.

Yupo.kijana mmoja mtoto wa Shao( maarufu kama mtoto wa mama teddy) pale mbezibeach rainbow kamaliza ifm miaka ya 2018. Nilimkuta kwa mkuu wa wilaya anafuatilia kibali cha kumiliki bastola kisa yupoTRA ana pesa nyingi eti atakabwa.

Yupo mwingine Ngajiro alikiwa longroom lakini walimfukuza kwa ufisadi. Kuna akina kimaro na wale wa airport Tra wana ukwasi wa hatari.

Sijui takukuru wamelala wapi. Na ile Fass sijui ya TRA law enforcement department inafanya kazi gani.
Kwani wao hao takokuru hawana matumbo? Nchi hii jamani mkipata magepu kuleni tu hakuna namna! Huwa nalipongeza sana bro langu nalo lilichotamo pambaff zao!
 
Mambo mengine ni kujitafutia laana tu. Unapoiba Bilioni saba unakaa nazo kwako sijui unanunua Vogue(Gari ambayo kwa wastani wa mishahara yetu itachukua miezi 300 kununua)

Sijui ujenge majumba ya kifahari wakati kuna masikini ambao biashara zao zinanyanyaswa ni kujitafutia laana tu. Unakuta gari mpya SUV ya maana namba EH Series imepiga mzinga na kuondoka na roho za watu kumbe ni malaana yenyewe haya.
Ni kweli. Ni ujinga, ushamba na upumbavu.
Ukosefu wa exposure pia unachangia.

Ingawa mimi sio tajiri kama wao. Lakin mimi naona kama nimefanikiwa kimaisha kuliko hao wanaoiba mali za umma bila kutoa jasho halali
 
Kuna shangaz yang ni mwalim wa primary mara huko, alikuja dar akanambia nimsimdikize kwa mwanafunz wake aliemfundishaga shule ya msingi, asee kaolewa na kijana mmoja anafanya kaz TRA, aisee lile jumba sijawah kuliona tangu nizaliwe lipo kinyerez ni kufuru.. kuna had gym yenye vifaa vyote.. wakat tunaondoka tukapewa vibunda na hela ya mafuta..nilitaman namm nipate kazi TRA
 
Kuna shangaz yang ni mwalim wa primary mara huko, alikuja dar akanambia nimsimdikize kwa mwanafunz wake aliemfundishaga shule ya msingi, asee kaolewa na kijana mmoja anafanya kaz TRA, aisee lile jumba sijawah kuliona tangu nizaliwe lipo kinyerez ni kufuru.. kuna had gym yenye vifaa vyote.. wakat tunaondoka tukapewa vibunda na hela ya mafuta..nilitaman namm nipate kazi TRA
Haujapigwa maswali ....huyu nani umekuja naye

Ova
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?

Kumbe wezi wa TRA ni wachagga?😮
Wachaga Magufuli aliwaondoa wote Tra
Tusiwasingizie tena
 
Back
Top Bottom