Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Kwahiyo ni halali yao kuiba !
 
Sawa Fanya mageuzi Kwa nchi Sasa Ili ufe wengine wale pesa sio unaongelea kwenye shuka unataka nani akupambanie
Mimi sijazungumzia kupambana ila nilichomaindi ni kukatisha tamaa mtu ambaye ameamua kupambana. Mimi siko kwenye position ambayo naweza kuleta impact ndio maana siwezi jihusisha na harakati kwa sasa.
 
Wabongo wanapenda kuishi tu hawajali wanaishi mazingira gani ilimradi wanapumua tu. Thats completely wrong na tumekuwa tied na statements kama "Tuilinde Amani yetu"..."Amani yetu ni tunu" while kuna watu they don't give a flying fvck about hio amani as long as ya kwao yanawaendea. Ukiingia kwenye line zao wanakupoteza in a blink of a second ni vita yani ila amani inahubiriwa ili tu wao waendelee kufanya yao bila bugudha. Its more of kutiana uwoga tu ila in a real sense hakuna hio amani tunayodanganyana kuwa ipo.
 
Magufuli alinunuwa MV Kigamboni kwa 6b na haikuwahi kutoa huduma
Sawa lakini muhimu siku moja aje Dikiteta Mzalendo Muadilifu kisha akae madarakani kwa muda usiopungua miaka 30 !
Muhimu awe Mzalendo Muadilifu !
Majizi yote yashughulikiwe kikamilifu !

Kinyume cha hivyo majizi yenye kuficha bilioni 7 za tra nyumbani na majizi mengineyo yataendelea kuzalishwa kila kona !
Kila mwaka CAG anaibua madudu mapya !
Au nasema uongo ndugu zanguni ???! 😳
 
Ndio maana wanafukuzana.....mgao umeenda ndivyo sivyo
 
Hakuna Dikteta mzalendo....ni dikiteta tu
 
Kwa sababu tuna uwezo wa kuruka viunzi vya sheria zilizopo labda !
Sheria kali kama za China ni muhimu !
Wale Wachina waliziweka zile sheria kwa sababu walijua majizi yatawakwamisha katika kupata maendeleo ya kweli na ya haraka !πŸ™ŒπŸ‘
Hizi nyepesi zenyewe zinafatwa? Yaani wezi wajitungie sheria kali dhidi yao?.
Nani alitunga sheria ya kinga dhidi ya viongozi? Na juzi juzi kuna mtu aliongeza list ya viongozi wasioshtakiwa kwa jinai wanazofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…