Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Hao wanakula hadi na Wakuu wa nchi, ndio maana unaona hakuna wanacho fanywa, kwa TAKUKURU ile ndio imejaa wahuni tupu.
 
Nashangaa takukuru wanafanya nini? Raisi awakumbushe majukumu yao akikaa kimya inaleta ukakasi ukiangalia wanavyokomaa na walipa kodi wadogo na kuua mitaji yao huku wao wakilijimbikizia mali inaleta hasira
TAKUKURU imejaaa wahuni ile, yaani wale mpaka uwaambie sasa kamata huyu, ogopa taasisi unaongozwa na askari Police
 
Mambo mengine ni kujitafutia laana tu. Unapoiba Bilioni saba unakaa nazo kwako sijui unanunua Vogue(Gari ambayo kwa wastani wa mishahara yetu itachukua miezi 300 kununua)

Sijui ujenge majumba ya kifahari wakati kuna masikini ambao biashara zao zinanyanyaswa ni kujitafutia laana tu. Unakuta gari mpya SUV ya maana namba EH Series imepiga mzinga na kuondoka na roho za watu kumbe ni malaana yenyewe haya.
 
1. "Samaki anazaliwa na kukulia majini, lakini mpishi humuosha kwa maji kabla hajampika kwa maji"
2. "inashangaza kusikia anayefanya kazi ya kutengeneza hela kiwandani; naye yu alipwa hela"
3. "amavyi aja kuyandi"
4. "dunia ni uwanja mpana, wa kupata yupo na wa kukosa yupo ili gurudumu la maisha lisonge-uwepo wa - na + ndio uhai wenyewe"
5. "hakuna tajiri bila kibarua na kinyume chake"
 
Hili ni baya sana
 
Ukifanya kazi hekaluni, unakula hekaluni
 
Aisee nimesoma nkahisi kupofuka macho dah
 
Oyaaa niko serious sipendi upuzi. Acha porojo za kindezi jamvin nakuamuru mara moja lipa kodi. Na nitakufuatilia kwa karibu sana ole wako ukwepe kulipa kodi mimi na wewe.

AMRI!

Sauh'waah?

RWANDA UNANYONGWA AMAMMAISHA NA KESI HAIFIKI WIKI 2

SISI TUNALEANANNANKUBADILISHANA POSN NJOO HUKU WE NENDA KULE

SWABBAANAH WATAALAA
Kwenye kudili na Rushwa Kagame yuko vizuri sana pamoja na Mapungufu yake maengine ila kwenye kudili na Rushwa yuko vyema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…