Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Mfanyakazi wa TRA akutwa amehifadhi pesa taslimu Tsh. Bilioni 7 nyumbani

Ni upambavu wa hali ya Juu sana, Mimi ninaviji biashara zangu kama nne, sijawahi kulipa Kodi, siwezi kuwalipia kodi watu wahuni. Hii Nchi ya Ajabu sana.
Maza anasema tulipe kodi huku mshahara wake haukatwi kodi si ujinga huo, piga pesa mkuu ukipata chance we iba sifia mama anaupiga mwingi maisha yaende kasi
 
Ali
TRA kuna pesa bhana, kunae mkaka wa mtaani kwetu, alimaliza UDBS 2017, mwaka juzi 2021 akapata kazi TRA huko Singida, jamaniiiiii.

Nyumba imejengwa week 3 kila kitu had fence. Sahivi ana ndinga Prado Tx, maisha kwake oyaah oyaah!! Bas vijana wa rika lake wananvyonangwaa mtaani mwenzao kashatoboaa.

Ila ndo malayaa mbwaa, mxxxxiiiiiieeeew.
Pole sana kwa kupitiwa na kutupwa kama mpira wa kiume.
 

Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.

Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.

Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.

Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.

Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.

Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.

Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
🙄
 
Hivi hao wafanyakazi wa tra ni wote wanapesa mbon kuna jamaa yangu namjua hana cha maan au mfagiaji yule!
Sio wote,wapo baadhi ambao wamesimama kwenye uadilifu.

Mdogo wangu wa mwisho ni binti ambaye amepata kazi TRA mwaka 2021,lakini yupo kawaida sana.
 
Sio wote,wapo baadhi ambao wamesimama kwenye uadilifu.

Mdogo wangu wa mwisho ni binti ambaye amepata kazi TRA mwaka 2021,lakini yupo kawaida sana.
Unachoelezea ni sahihi kabisa inategemea sehemu mtu anakopangwa au connection. Wanaofanya department customs ( forodha) ndio usiseme huko. Nenda Tunduma [emoji1787][emoji23] customs officers wanahamishwa Sana huko hawafikishi miaka miwili
 
Back
Top Bottom