mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Kuna vijana Watumishi wa Umma weekend Dubai..Shopping Dubai..Mapumziko Afrika Kusini..Data dont lie🗑️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maza anasema tulipe kodi huku mshahara wake haukatwi kodi si ujinga huo, piga pesa mkuu ukipata chance we iba sifia mama anaupiga mwingi maisha yaende kasiNi upambavu wa hali ya Juu sana, Mimi ninaviji biashara zangu kama nne, sijawahi kulipa Kodi, siwezi kuwalipia kodi watu wahuni. Hii Nchi ya Ajabu sana.
Hununui vocha wala umeme?Me kodi yangu atakula mama mwenye nyumba tu
Ila hao wengine mpaka tujielewe kwanza
Huyo n mtumish, na hyo ni cash , cjui ukimjulisha na assets itakuw Totol tilion ngapBillioni saba?. Inatisha sana.
Kama yule meneja wa TRA kule Kigoma na biashara yake ya pembe za ndovu!!!??Kama anafanya biashara zingine mfano madini hizo ni pesa ndogo sana
Pole sana kwa kupitiwa na kutupwa kama mpira wa kiume.TRA kuna pesa bhana, kunae mkaka wa mtaani kwetu, alimaliza UDBS 2017, mwaka juzi 2021 akapata kazi TRA huko Singida, jamaniiiiii.
Nyumba imejengwa week 3 kila kitu had fence. Sahivi ana ndinga Prado Tx, maisha kwake oyaah oyaah!! Bas vijana wa rika lake wananvyonangwaa mtaani mwenzao kashatoboaa.
Ila ndo malayaa mbwaa, mxxxxiiiiiieeeew.
🙄
Gazeti la Raia mwema leo, Julai 10, 2024, linaeelezea utajiri wa kutisha wa mabosi wa TRA, hawa ndio wale hutuma vijana wao waje kiusumbua mtaani na kodi za Tsh. 100,000 wakati kuna watu wanakwepa kodi za trilion za pesa kwa makubaliano.
Hawa ndio wale tunaambiwa tutunze amani ili waibe na kula kwa amani, yaani ukisikia tenzi za amani yetu sababu ni hizo hapo.
Rais anasisitiza tulipe Kodi, Mwigulu anasisitiza tulipe kodi, Ila shida inakuja kwenye matumizi ya hizo kodi tunazo komaliwa tulipe na tunaambiwa kulipa kodi ni uzalendo. Na hawa watu ni kama Raisi anawaogopa sana.
Ndio maana nashangaa sana wanao jitolea mara kujenga Zahani mara shule, kwa sababu base ya kujitolea haiwezi kuwa habari kama hizi za fedha kupigwa na wengine mnambiwa wajitolee kujenga shule au Barabara au changishaneni.
Jiulize watuhumiwa wa report ya CAG wanafanywaga nini? hawakuna wanacho fanywa na sio hivyo tu bali pia husamehewa.
Hawa huwezi sikia Wakina Makala, na kampuki yake wanawazungumzia, huwezi wakuta waimba pambio humu wanazungumzia mambo kama haya. Wao wako busy na Mbowe na Lissu.
Kule Kilimanjaro kuna raia wanachangishana kulima barabara, vipi wanapo sikia habari kama hizi?
Sio wote,wapo baadhi ambao wamesimama kwenye uadilifu.Hivi hao wafanyakazi wa tra ni wote wanapesa mbon kuna jamaa yangu namjua hana cha maan au mfagiaji yule!
yaani ni zaidi ya hiyo utakuta mlipa kodi anatakiwa kulipa 1B, Then deal inafanyika analipa serikalini 200m, na Watumishi wa TRA wanachukua 200m. hapo serikali imepoteza 800m hiyo sijui ni % ngapi----25+/-% YA MAKUSANYO YA KODI TANZANIA HUINGIA MIFUKONI MWA WATUMISHI WA IDARA HUSIKA----
Mi unitafutie tu connection ya ajira huko kwa wakuu naombaNawajuwa baadhi wanaishi pembezoni mwa miji ni balaa
Hao kila nkienda makwao hawapendi niende na mtu,lazima waseme,ebwana ehh njoo pekee yako 😄
Tena uzi huu umenikumbusha,kuna mmoja nataka kumtoa upepo kesho
😄
Ova
Mwambie awache kushoia, muda ndiyo huu akusanye mifedhwaaa eeh mipesaaa.Sio wote,wapo baadhi ambao wamesimama kwenye uadilifu.
Mdogo wangu wa mwisho ni binti ambaye amepata kazi TRA mwaka 2021,lakini yupo kawaida sana.
Unachoelezea ni sahihi kabisa inategemea sehemu mtu anakopangwa au connection. Wanaofanya department customs ( forodha) ndio usiseme huko. Nenda Tunduma [emoji1787][emoji23] customs officers wanahamishwa Sana huko hawafikishi miaka miwiliSio wote,wapo baadhi ambao wamesimama kwenye uadilifu.
Mdogo wangu wa mwisho ni binti ambaye amepata kazi TRA mwaka 2021,lakini yupo kawaida sana.
Imani na malezi yake yanamkataza wizi.Mwambie awache kushoia, muda ndiyo huu akusanye mifedhwaaa eeh mipesaaa.
CHURA KIZIWI Chura Kiziwi_Kifupi hii nchi ilipofikia Tunamsindikiza Chura Kiziwi na wafuasi wake kwenye utajiri
Tumia akili we dogo haiwezi fika T labda 12B maxHuyo n mtumish, na hyo ni cash , cjui ukimjulisha na assets itakuw Totol tilion ngap
7,000,000,000
🤣🤣Ali
Pole sana kwa kupitiwa na kutupwa kama mpira wa kiume.
Malkia naomba picha yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kifupiii, sio type yangu yulee, yaan hanivutii na hanishawishiii.
Kubwa zaidi cna hata mazoea nae.