Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Kuna mmoja nilimfanya akawa mshikaji kichizi. Time ilivyoenda akawa haniheshimu, haeleweki wakati gani anajibu serious au jokes. Hajijui lakini nimempiga chini kimya kimya
 
Kuna mmoja nilimfanya akawa mshikaji kichizi. Time ilivyoenda akawa haniheshimu, haeleweki wakati gani anajibu serious au jokes. Hajijui lakini nimempiga chini
Ni yule mlokole nini mkuu😉😉

Sijui uliuwekaje huo ushkaji lakini mpenzi wako akiwa mshkaji wako inakuwa mzuka sana 😋😋😋
 
Ili kufanikisha mambo mazuri, lazima uwe na uthubutu wa ku-cross hizo boundaries...

Unapoleta ukauzu, unakosa mengi...
Wacha nikose mengi tu kwakweli lakini marufuku kucross boundaries 😀
 
Back
Top Bottom