Safi sana, inapendeza... Wape miongozo...๐ฏ โฆ.baada ya kupiga gameโฆtu naanza kuongea umbea sasa๐๐si kila muda mtu uko siriazi utafikiri unachomelea mageti ๐๐
Wape miongozo, watakushukuru... Utalipwa peponi...Watajisoti wenyewe๐คฃ๐คฃ
Hayo ndiyo maneno, toa miongozo kwa members, malip yawe hapa hapa...Sitaki kulipwa peponi ๐๐nataka lipwa hapa hapa๐
Watakulipa, kuna members wakarimu sana, kwao hasara roho, pesa makaratasi...Malipo kwanza
Fanya kweli uone...๐๐๐๐smart bhana
Wakiacha ukauzu, mambo fresh...Hakuna cha kufanya hapo waache wapambanae na ukauzu wao๐
Ni yule mlokole nini mkuu๐๐Kuna mmoja nilimfanya akawa mshikaji kichizi. Time ilivyoenda akawa haniheshimu, haeleweki wakati gani anajibu serious au jokes. Hajijui lakini nimempiga chini
Hapo sawa, ila nawe usiwaletee ukauzu kama unao huo ukauzu lakini...Fresh sana yani
Ili kufanikisha mambo mazuri, lazima uwe na uthubutu wa ku-cross hizo boundaries...Ukauzu wangu huonekana mtu akicross boundaries ila ni mwana sana๐คธโโ๏ธ