πππUmenikumbusha rafikiyangu tulikata tikiti kubwa saa mbili usiku akaingia nalo chumbani nimeamka anatoa vyombo kamaliza na lililobaki alikuja kubeba na kamaliza loteπππLakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell Iβm not romantique.
Baba Mwampoo is a man and half.. tumpe tu maua πΊπΊ
Najua anajua uliamka saa 8 ukala tikiti.. we dada ni mwamba geu
Sio Maua, nakupa mti wakoπππ.π π
Hizi vitu zinafanya nammiss mno Baba Mwamposa wangu, that guy ni mshikaji ile kinoma, ananiitaga 'mwamba wangu' sababu naweza kula tikiti lote mwenyewe..!!
Alikuwa hajala ama lilimzidia utamu?πππUmenikumbusha rafikiyangu tulikata tikiti kubwa saa mbili usiku akaingia nalo chumbani nimeamka anatoa vyombo kamaliza na lililobaki alikuja kubeba na kamaliza loteπππ
Cha ajabu alikula ndo akala nusu nafikir usiku alimka Tena π na mm nilijua njaa lakin imejirudia zaiid ya maramoja Yani Wana maua Yao πAlikuwa hajala ama lilimzidia utamu?
Maana tikitiki kama ulikula ukashiba huwezi kula jingi sbb linajaza tumbo na ile mimaji yake.
Sikumoja alikuwa mgonjwa akaja kulala chumbani kwangu niwe namuangalia nakuta mgonjwa anatoka nauliza vipi unajisikia vibaya kumbe kaenda kukata tikiti kakaa zake kala kapanda kitandani πππakasema siku nikiumwa nikashindwa Kula tikiti mjue naelekea kufa πππAlikuwa hajala ama lilimzidia utamu?
Maana tikitiki kama ulikula ukashiba huwezi kula jingi sbb linajaza tumbo na ile mimaji yake.
Ni ubabe tu.
ππCopy kabisa na rafikiyangu mwanzoni nilikuwa namshangaa kula matikiti kiasi kileπππ π
Hizi vitu zinafanya nammiss mno Baba Mwamposa wangu, that guy ni mshikaji ile kinoma, ananiitaga 'mwamba wangu' sababu naweza kula tikiti lote mwenyewe..!!
Me sicheki na kiumbe anakula deal na Nyoka Kisha kufanikisha ME tuishi kwa mateso tukiwachumia Huku tunawahi kufa.acha ugumu mwanetu mambo yamebadilika
kua flexible
ππ Siingiagi miguu miwili Kama Fundi ujenzi anarukia shimoni.Ulishagapigwa tukio si bureππ
πππππCopy kabisa na rafikiyangu mwanzoni nilikuwa namshangaa kula matikiti kiasi kileππ
ππππSikumoja alikuwa mgonjwa akaja kulala chumbani kwangu niwe namuangalia nakuta mgonjwa anatoka nauliza vipi unajisikia vibaya kumbe kaenda kukata tikiti kakaa zake kala kapanda kitandani πππakasema siku nikiumwa nikashindwa Kula tikiti mjue naelekea kufa πππ
πππkristoooo
Ninunulie uone venye namaliza box ndani ya dk 5 π€£π€£
Usifananishe Eet sum more na tikititi eti πππ
Try me sweets.!!πππ
box at once humalizi yale maziwa yake huwa yanakifu haraka mno bhaana..!!
Mimi nataka niwepo kuthibitisha hilo Gurl, Ahsante..!!βΊοΈTry me sweets.!!
EmuuuuuMimi nataka niwepo kuthibitisha hilo Gurl, Ahsante..!!βΊοΈ